Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
lakini, Nyamayao Mwenyezi mungu alishagawa majukumu toka anawaumba Adam na Eva. Adam atatafuta mali/chakula kwa shida na Eva atabeba mimba na kujifungua kwa uchungu!sasa hapo wanawake mnataka nini zaidi, hamuoni kuwa yote hayo ni mipango ya mungu na aliibariki iwe hivyo?!!!!!!
c ndio mana naishilia kutamani tu Bacha......