Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Utanipa binti ambae tayari yupo au mimi na wewe tutatafuta binti?:smile-big:.....
ila bado hii bayo-fiziks haijaniingia kichwan...
nakupa ka kwangu....au unatakaje?:confused2:
Utanipa binti ambae tayari yupo au mimi na wewe tutatafuta binti?:smile-big:.....
ila bado hii bayo-fiziks haijaniingia kichwan...
Punguza speed mamaa mbona thread haikimbii hii!!:becky:Hii nzuri sana.Inaleta usawa.Na munug naye huwa anajua kufundisha watu kwa namna za ajabu sana.
Na inaonyesha huyu mwanaume ana upendo wa dhati kwa mwenzie.
Hii nzuri sana.Inaleta usawa.Na munug naye huwa anajua kufundisha watu kwa namna za ajabu sana.
Na inaonyesha huyu mwanaume ana upendo wa dhati kwa mwenzie.
oooh hatimae kina baba wameanza kuonyeshwa hatua tunazopitia katika kipindi chote cha ujauzito..
asanteni kutusaidia .
"What other people think of you is none of your business"
Zion Daughter hii signature ya ukweli nimeikubali
Roya Roy ndugu yangu.....usije ukaombe ukute umeharibu kabinti kwenye infi, sasa ndo mimba imehamia kwako unaanzaje kujieleza kwa mamsapu kuwa unataka udongo saaa sita za usiku? sio kitu ya kuombea hii mpwa! LOL
hahahaa!!! atakupa, kwani wewe shida si binti? :eyeroll2:Utanipa binti ambae tayari yupo au mimi na wewe tutatafuta binti?:smile-big:.....
ila bado hii bayo-fiziks haijaniingia kichwan...
Roya Roy ndugu yangu.....usije ukaombe ukute umeharibu kabinti kwenye infi, sasa ndo mimba imehamia kwako unaanzaje kujieleza kwa mamsapu kuwa unataka udongo saaa sita za usiku? sio kitu ya kuombea hii mpwa! LOL
Mkuu usiwe na wasiwasi......kutaka udongo ni dalili ya upungufu wa madini ya chuma..........sasa sisi tunakula maini na mafigo ya mbuzi na ng'ombe kila siku, supu ya samaki, na vimiminika kazaa, huwezi pata hamu ya kula maudongo bana!Mpwa umeniacha hoi sana hapo inabidi uwe na kikopo chako umejaza udongo ila waifu akigundua ndio utaanza kuulizwa maswali na majibu sijui utayatoa wapi kwani mpwa kipindi kile wakati na wewe unasikia kichefuchefu ulikuwa unafanya nini LOL
nakupa ka kwangu....au unatakaje?:confused2:
hahahaa!!! atakupa, kwani wewe shida si binti? :eyeroll2:
Kiongozi hapo utakua umekwisha!
Halafu si hawa wataalam wetu wanasema ili hii ikutokee inabidi uwe umependa kupitiliza???....sasa kupenda infii hadi kupitiliza.....dah..balaaa!:mad2:
Mkuu usiwe na wasiwasi......kutaka udongo ni dalili ya upungufu wa madini ya chuma..........sasa sisi tunakula maini na mafigo ya mbuzi na ng'ombe kila siku, supu ya samaki, na vimiminika kazaa, huwezi pata hamu ya kula maudongo bana!
halafu mnatengeneza kengine na switi cassava wako?:A S check_03:nakupa ka kwangu....au unatakaje?:confused2:
Nasita kutoa msimamo wangu hadaharani kwa masilahi ya umma...:becky:
halafu mnatengeneza kengine na switi cassava wako?:A S check_03:
wala sitaki achilia mbali kuomba!!:A S 13:Asee hommie usiombe yakufike!:confused2::confused2::confused2:
Asee hommie usiombe yakufike!:confused2::confused2::confused2:
Punguza speed mamaa mbona thread haikimbii hii!!:becky: