Hawa wajerumani hata hapa kwetu Tz waliuwa sana wazee wetu hassa songea.Achana nao hao...Sasa wataanza kulia lia weeee......... kama vile hawajui walichkifanya Miaka ya nyuma!!
Bado kuna kile alicho wa tayarishia Allahu Al-jabbar al Muntqeem (ALMIGHTY GOD) ule moto uitwao "ANnaru ashadu Haraa"
Na pale madina walilipua kwa sababu gani.. Afu mlilialia sana humuWewe hujafahamu m!! hujaelewa... huja soma na kujua mfumo wa mwanaAdamu!!
"an EYE for an EYE" au an Eye for $$$$ ???
Shehe walilipua pale madina.. Mlilialia sana humuHivi nawewe ni Great thinker? Unaonekana una akili ndogo kama za Kiroboto,comment yako imethibitisha kua kichwani wewe ni mtupu empty,unaongozwa na ki chuki kuliko ki akili.
eeee jamanii kweli !! ila sema polepole kwa sauti ya chini..MAANA KUNA WATU HUMU wakikusikia watawa TETEA wee..Hawa wajerumani hata hapa kwetu Tz waliuwa sana wazee wetu hassa songea.
Hakuna kulia sisi ni kukamata na kuhukumu ON THE SPOT!! hata siku moja hatulilii.. weweNa pale madina walilipua kwa sababu gani.. Afu mlilialia sana humu
waliofanya hilo tukio ni magaidi na sio waislam ........na ikibidi tuwaachie wenyew wajeruman mana halituhusu na hata lingetuhusu kamwe tusingeliwezaUjerumani imekuwa ikipokea na kutetea wahamiaji wa Kiislam, Waislam wameiripua? Kama ni kweli basi kunguru hafugiki
war in turnWarudi tena na waipige ufaransa wameleta matatizo makubwa sana Ndani ya libia na wao wapigwe tu maana hakuna namna.
Nalog off
I dont buy your storyBado nasisitiza kuwa haya mambo si ya kushangaza barani ulaya hasa kwa mtu mwenye utimamu wa akili.....
Maelfu ya wakimbizi kutoka mashariki ya kati ambako msamiati wa amani na ubinaadamu umeshapotea vichwani mwao....huku wakionekana kukata tamaa na maisha kwani hawana cha kupoteza mwao....mambo kama haya yalitarajiwa.......
Huwezi kuwapokea wakimbizi ambao wanajua mateso yao na mahangaiko yao yamesababishwa na wewe alafu wewe ukabaki salama.......
Yaani ni sawa na mfano wa mtu ambaye umemgombanisha na ndugu zake kiasi cha kuondosha amani miongoni mwao alafu mtu huyo unampa hifadhi kwenye familia yako yenye amani.....hapo unadhani nini kitatokea....!!???
Dunia haipaswi kupumbazwa na haya yanayotokea sasa hivi balani ulaya kupitia CNN na BBC bali pia wanapaswa kuwafikiria mayatima na walemavu waliobakia huko mashariki ya kati yaliyosababishwa na makombora ya NATO na Marekani nyuma ya kichaka cha UGAIDI NA DEMOKRASIA........
Bahati mbya propaganda zimetawala kwenye vyombo vya habari vya magharibi kiasi ulimwengu mzima kumuonea huruma mzungu aliyechomwa kisu....kuliko mtoto au mwanamke asiyekua na hatia aliyesambaratishwa na makombora ya NATO......na Marekani.......
Walipiga madina mlilialia sana humuWarudi tena na waipige ufaransa wameleta matatizo makubwa sana Ndani ya libia na wao wapigwe tu maana hakuna namna.
Nalog off
"Several dead and wounded" in Munich attack, shooters on the run, German police tell AP news agency.
Source: Aljazeera.com
Why wasimgeeenda kuomba asylumEheee... Vipi mnavosikia na kuona katika news NDEGE F16 za nato na za Unco sam zikishambulia nchi za Iraq Libya Syria na Afghan" jee huko hakuna binaadamu au roho za watu?????????????????????
na bado wataisoma namaba kinyumenyume safari hii...!!!
Jay One Pokofame cosM kama to Din tu Dan !! wenyewe wasema its the mater of TIME !!!
Angela Merkel atavuna alichopanda, aliwakaribisha wakimbizi wengi kutoka nchi za uarabuni. Ona sasa
watu wahafikirii sijui dunian kuna nchi takriban 196 lakini hawajamaa waache zooote waje waipige France..... Germanyeeee jamanii kweli !! ila sema polepole kwa sauti ya chini..MAANA KUNA WATU HUMU wakikusikia watawa TETEA wee..
mi mwenyewe navunja vizuri lugha ya mzungu usiogope @GentaNilidhani umeandika Wewe kama Wewe hiki Kiingereza Mkuu kumbe ni copy and paste kutoka Al Jazeera. Ngoja niangalie huko chini kama kuna mahala umechangia na Wewe kwa " ngeli " au umebwaga tu hapa na ukatoka zako " nduki " na kurudi kule " home ground " kwetu kwenye Kiswahili chetu.
The current security crisis in Germany may prove wrong the decision of Angela Merkel to welcome asylum seekers from middle east and North Africa. cc GentamycineWaliruhusu 1million Arabs kuingia nchini mwao what we're they expecting?
mi mwenyewe navunja vizuri lugha ya mzungu usiogope @Genta
The current security crisis in Germany may prove wrong the decision of Angela Merkel to welcome asylum seekers from middle east and North Africa. cc Gentamycine