Multiple deaths reported at shooting in Munich shopping mall

BBuFkbW.jpg
BBuFPM7.jpg
BBuFFzN.jpg
BBuFFzO.jpg
 
Angela Merkel atavuna alichopanda, aliwakaribisha wakimbizi wengi kutoka nchi za uarabuni. Ona sasa
Eheee... Vipi mnavosikia na kuona katika news NDEGE F16 za nato na za Unco sam zikishambulia nchi za Iraq Libya Syria na Afghan" jee huko hakuna binaadamu au roho za watu?????????????????????

na bado wataisoma namaba kinyumenyume safari hii...!!!
Jay One Pokofame cosM kama to Din tu Dan !! wenyewe wasema its the mater of TIME !!!
 
Eheee... Vipi mnavosikia na kuona katika news NDEGE F16 za nato na za Unco sam zikishambulia nchi za Iraq Libya Syria na Afghan" jee huko hakuna binaadamu au roho za watu?????????????????????

na bado wataisoma namaba kinyumenyume safari hii...!!!
Jay One Pokofame cosM kama to Din tu Dan !! wenyewe wasema its the mater of TIME !!!
Kwaiyo unataka kusema mnalipiza kisasi?
 
Natafakari jinsi Wajeruman watakavyojibu mapigo hadi roho inaenda mbio. Aysee kile ndio kizazi kikatili kuwahi kutokea ktk dunia hii. Sasa kama jamaa wamechokozwa huu ni moto wa gesi umewashwa!
Mbona unaeneza uoga mkuu?
 
Bado nasisitiza kuwa haya mambo si ya kushangaza barani ulaya hasa kwa mtu mwenye utimamu wa akili.....

Maelfu ya wakimbizi kutoka mashariki ya kati ambako msamiati wa amani na ubinaadamu umeshapotea vichwani mwao....huku wakionekana kukata tamaa na maisha kwani hawana cha kupoteza mwao....mambo kama haya yalitarajiwa.......

Huwezi kuwapokea wakimbizi ambao wanajua mateso yao na mahangaiko yao yamesababishwa na wewe alafu wewe ukabaki salama.......
Yaani ni sawa na mfano wa mtu ambaye umemgombanisha na ndugu zake kiasi cha kuondosha amani miongoni mwao alafu mtu huyo unampa hifadhi kwenye familia yako yenye amani.....hapo unadhani nini kitatokea....!!???

Dunia haipaswi kupumbazwa na haya yanayotokea sasa hivi balani ulaya kupitia CNN na BBC bali pia wanapaswa kuwafikiria mayatima na walemavu waliobakia huko mashariki ya kati yaliyosababishwa na makombora ya NATO na Marekani nyuma ya kichaka cha UGAIDI NA DEMOKRASIA........

Bahati mbya propaganda zimetawala kwenye vyombo vya habari vya magharibi kiasi ulimwengu mzima kumuonea huruma mzungu aliyechomwa kisu....kuliko mtoto au mwanamke asiyekua na hatia aliyesambaratishwa na makombora ya NATO......na Marekani.......
Point.....
 
Mazombi katika ubora wao, unawaruhusu kuingia kwako ovyo halafu wanakushushia mzigo. Wale sio wa kuhurumiwa maana ni mzigo, kwao wameshindwa kuishi kama mandugu tena kwa uongozi wa dini.

Marekani waisome mapema, wapo katika njia panda, aidha wamskilize Trump na kujilinda au na wao wajikute waliko wenzao.
Its the meta of TIME............................................... San barnidaboe na ORALNDO !!
 
Mkuu fatilia habari vizuri kabla ya kupost
Achana nao hao...Sasa wataanza kulia lia weeee......... kama vile hawajui walichkifanya Miaka ya nyuma!!
Bado kuna kile alicho wa tayarishia Allahu Al-jabbar al Muntqeem (ALMIGHTY GOD) ule moto uitwao "ANnaru ashadu Haraa"
 
Back
Top Bottom