Nadhani hii ni tovuti ya thinkers lakini humu ndani kuna vibonde ambao hata kufikiri hawawezi. Nimegundua Common Sense is not that much common kwa wengine. Wakati mwingine hata shule/masomo ya darasani hayamtoi mtu tongo tongo zake machoni na ukungu kichwani. Kwanza kampeni za igunga zilikuwa kati ya Chadema na CCM + whole government (mawaziri waliacha ofisi kwenda kutoa ahadi ya kusaini cheki kujenga daraja na barabara + Bakwata + wengine wengi tu. Hata kwa mambo yote hayowapiganaji wa magwanda wameweza kuoinyesha njia. Kuingia ktk jimbo na mtaji wa kura zero hadi kujizolea kura elfu 23. Kwa analysts wanaelewa data hili ila kwa tuliowazoea ndivyo sivyo wanafikiri wameshinda Igunga. Kiti cha ubunge Chama cha Magamba wanacho but politically they have vrecorded defeat. Kampeni ni vita vya akili hivi vinahitaji watu watumie akili sio kulala nje kuvizia kugawa elfu mbili wa kila kaya.