Mugabe ana kichaa!!

MUGABE......MUGABE.....!
I SALUTE YOU COMRADE.....!
YOU FIGHT FOR YOUR PEOPLE MUGABE.....!
YOU DESERVE THE BEST......!1
I SALUTE YOU THE ROLE MODEL OF AFRICAN SPIRIT.....!
I salute you comrade....!
 
Bado sija kuelewa!!...come straight!!!

Kama ulikuwa unaniuluza mimi.....

Baada ya kupitia post za watu juu ya hii topic nimejikuta kuvutiwa zaidi na swala la "miafrika ndivyo tulivyo"

Mimi binafsi baada nimesoma maelezo mbalimbali kuhusiana na jinsi mtu anavyoweza kufanikiwa katika maisha ya kila siku katika nyanja mbali mbali.
Jambo la muhimu kulilko yote ni JINSI MTU ANAVYOFIKIRI.
Maana awazavyo mtu ndivyo alivyo.
Pia nilikuja kufahamu kuwa in our brains we have got this part of the brain called the subconscious mind,this part receives information literally,it doesn't filter, it doesn't judge and it doesn't forget.
This part doesn't know what is real and what is fantasy.
My point here is to tell all my friends that we must be very very careful on WHAT WE THINK AND SAY. Kumbukakeni pia subconscious mind iko kazini tangia uko tumboni mwa mama mpaka unakufa na haipumziki mpaka unakufa(mchana na usiku).
Kwahiyo tusijiwazie wala kuwa wazia watu wengine mambo mabaya maana "awazavyo mtu ndivyo alivyo"
Nawaomba sana jamani tusijikatae wenyewe.

Hapa nilikuwa namaanisha we have to believe in our selves that we can be or do anything we want.
Tusiji-underrate wenyewe. maana kwa kufanya hivyo tutazidi kufikiri chini ya kiwango mpaka mwisho wetu.
Kwa historia ya form two niliyosoma niliwahi kumsoma mtawala fulani ambaye alikuwa anaitwa Askia Muhammad

Askia Muhammad Ture (ca. 1443-1538) founded the Askia dynasty of the West African Songhay empire. He extended the conquests of Sunni Ali, promoted commerce, and increased the political influence of Islam in his state.
Muhammad's father was a Soninke from the Futa Toro region of modern Senegal. Although his mother was a Songhay, who may have been the sister of Sunni Ali himself, Muhammad was later to be thought of as a "foreign" usurper because of his father's ancestry. Little is known about his early life before his career as a general in Ali's army, but his reign is one of the best-documented in early West African history.

Accession to the Throne

Sunni Ali died in November 1492 and was succeeded by his son, Sunni Baru. Baru, unlike his father, tried completely to ignore Moslem interests when he came to power and thus committed a mistake which threw Moslem support behindMuhammad, then a popular general. Muhammad coalesced his support and met and defeated Baru in April 1493. He declared himself king and took the title of Askia. During the next decade he vigorously eliminated all the survivors of the Sunni line and of its predecessor, the Za.Muhammad was aware of his equivocal position as a usurper , and he sought a new basis of legitimacy in Islam. He assiduously cultivated Moslem support, and within 2 years his throne was so secure that he felt he could risk a long absence from the Sudan.
Muhammad knew that by undertaking a holy pilgrimage to Mecca he would make a clean break with the "magician-king" tradition of the past and thus further buttress his support among the growing number of Songhay Moslems. He used the accumulated wealth of Ali's reign to put together an entourage which surely rivaled that of the famous 14th-century Mali king, Mansa Musa. By the time ofMuhammad 's hajj, however, his arrival in the Near East was not such a novelty, and he failed to make a similar sensation, although he spent and gave out 300,000 pieces of gold.
Completion of the pilgrimage automatically gave Muhammad the honored title of al-Hajj, but he succeeded in obtaining an additional title from the sharif of Mecca, who named him the Caliph of the Western Sudan. This was strictly an honorific title, but it further added to his authority in Songhay.
Political Consolidation

Upon his return to Gao in 1497, the main task facing Muhammad was that of consolidating the vast but tenuous empire left by Sunni Ali. He in fact had to renew many of Ali's conquests militarily. In 1498 he led a force to the west, annexing portions of the Mali empire, and he eventually expanded almost to the Atlantic coast. In the east he started by gaining control of the important trade route to Air in 1501 and finished by conquering for the first time much of Hausaland by 1512. Songhay control of the most distant areas was not, however, longlived. Nevertheless, by about 1516Muhammad had imposed permanent control over much of what is now the Republic of Mali and the western portion of the Republic of Niger.
During these 2 decades of military campaigns he advanced the professionalization of the army that had been started by Ali and built a stronger navy. The loss of great numbers of men in the campaigns against Mali encouraged him to incorporate even more conquered peoples into his armies in order to reduce the need for levies on his own people, thus allowing agriculture to develop.
Despite his military prowess Muhammad's most important achievements were political. He gave the empire an administration based upon a pyramidal ranking of territories.
Gao was administered directly, but most of the rest of the empire was ruled under four great provinces, each governed by members, or favorites, of the ruling family. Few vassal kings remained in power as they had under Ali, and unity was achieved through the royal family itself. The widely respected military lent stability to this system. Muhammad also introduced a unified system of weights and measures and appointed commerce inspectors, which led to a new era of prosperity within the empire.
Even though Muhammad may have closely embraced Islam for political reasons, he was genuinely interested in Islamic theology, and he generously supported Moslem scholars. He frequently corresponded with North African scholars for legal advice. Nevertheless, he made no attempt to model his government on purely Islamic lines and did not promote any mass conversions. He continued to retain many non-Islamic elements in his court practices, and the mass of rural Songhay people remained non-Moslem.

ukiangalia hiyo miaka utagundua kuwa uwezo tulikuwanao na tunao hata sasa ila kunawatu hawaamini kama tunaweza na hiyo ndiyo inakuwa kweli yao na maisha yao.

http://www.bookrags.com/biography/askia-muhammad-ture/
 
Mi nafikiri Mugabe alikua anafuata mkumbo...tu..Kwamunonekano wake!! ni dhahili kabisa anakichaa!!!..au malaria sugu!!..Na hii yote imesababishwa na marafiki zake wa karibu kupoteza kabisa Dira ya yale walio kua waki yazungumza ujanani..!!yawezekana walimfundisha ushujaa kabla topic haija isha wakapotea!!... wapo rafiki zake walio aga Dunia!!/ wapo rafiki zake walio achwa na kuacha madalaka huku nyuma yao wakizongwa na kashfa!!

nafikiri mgabe alipangwa vizuri akapangika na hao marafiki zake lakini mwishoni hakukuta kile alichokua ana tarajia...

labda nchi kubwa ya Africa!!...Tanzania inawajibika moja kwa moja na kichaa cha Mugabe!! vita mstari wa mbele na siasa ya ubaguzi kusini mwa Afrika... sijui unanielewa!!? au una endelea kulewa!!?

Kama yeye ni kichaa anaowatawala watakuwa nini? What is a state ruled by a mad man? Absolute power corrupts absolutely!
 
mbona yuko fresh tu babu wa watu.mbona hamuwashangai SYNOVATE na kura zao za maoni...
 
History Kweli Imekupiga Tobo!

USSR Iliangushwa Na Reagan Miaka Ya 80!

REMEMBER GORBACHEV?

Miaka Ya 90's Ni Kichaka Sr Na Buzi La Lewinsky!

WAO WALILIA NA SADDAM KAMA WANAVYOFANYA KWA MUGABE!

NA WAKATI HUO MZEE WA RHUKSA AKIYAFANYA YALE ALIYOOGOPA KUYAFANYA MWALIMU!

MWALIMU ALISEMA ANANG'TUKA!

HAKUONDOKA KWA KUPENDA...BALI HUZUNI ZA SERA ZILIZOSHINDWA KABLA YA KUANZA.

NA KWASABABU UJAMAA NI KAMA DINI...KUMWAMBIA ASIMAMIE UBEPARI NI SAWA NA KUMLAZIMISHA MSILAMU ALE POKU!

MSWAHILINA RHUKSA NAYE AKAMPIGA VIJEMBE NA KUTANGAZA KUWA KULA POKU SASA RHUKSA! KWA TAIM YAKO TU JIPENDELEE!

WABONGO NAO WALIVYOKUWA FYATU...WAKA MISTRANSLATE....BUCHA NA MIKITI MOTO IKAANZASHWA HADI MISIKITINI!

TENA AKADAI HATA CHURA KULA CHURA PIA RHUKSA!

MWALIMU AKAMWITA AKAMWAMBIA THATS NOT THE WAY...KWAMBA KUINGIA KWENYE UBEPARI HAINA MAANA YA KUGEUZA UKULU PANGO LAO!

MTUPU NAYE (MKAPA)....

AKAONA JINSI WABONGO WALIVYO PUMBAVU...KWANI BADALA YA KUELEWA KUWA SASA NI FREE MARKITI...WAO WAMEFUNGUA BIASHARA ZA KITI MOTO!

NA KWA UREFARII WA MWALIMU...AKAGWAYA..ILA HAKUTAKA WABONGO WAJUE KINACHOENDELEA...NAONA ALIJUWA MWALIMU YUKO UKINGONI KUFA..!KWANI HATA DILI ZA KUUZA NCHI JUMLA ZILIANZA A COUPLE OF YEARS BEFORE JKN DIED.

MTUPU YEYE AKAJA NA MASAMIATI....CHANGA LA MACHO, AMA HATA UKIPENDA USANII....AKAJA NA "WHITE PAPER" MAELEZO AMBAYO YALIKUWA YAKIELEZEA KUWA SASA UBINAFSISHAJI MEANS NCHI KUUZWA!

BAADA YA WHITE PAPER AMBAYO WANANCHI BADO WALIKUWA WAKI ASSOCIATE NA NGURUWE WALIZOAMBIWA WALE NA MWINYI...AKAUNDA PRSC.

KWA USIMAMIZI WAA BOT,PRSC NA WIZARA YA FEDHA...NCHI IKAUZWA JUMLA!

WABONGO NAO BADO PUMBAVU SANA TU!

WALI MISUNDERSTAND AGAIN....WAKAANZA KUITA POKU WHITE PAPER!

SASA SIJUI TUMEROGWA AMA NI NINI!?

NA KAMA MAWAZO YETU NDIYO HAYA...BASI HATA TUKIRUDI UTUMWANI NI SAWA TU!

ILA MIMI SIMO!

Got It?
Na wewe umo- wanao kubari na kuafiki kipengele hiki waseme Ndiyoo wasio afiki waseme siooooo
Walio afiki wameshinda-
 
MUGABE......MUGABE.....!
I SALUTE YOU COMRADE.....!
YOU FIGHT FOR YOUR PEOPLE MUGABE.....!
YOU DESERVE THE BEST......!1
I SALUTE YOU THE ROLE MODEL OF AFRICAN SPIRIT.....!
I salute you comrade....!
Nenda nchini kwake kaa japo wk 1 alafu umpe tena hizo sifa
 
Mbona Mugabe hata aki step down atabakia na Heshima yake ona Sasa Njaa itamtoa Mugabe kwa Aibu -Si Ni suala la kumshauri tu- Kila Mtu Ni kichaa Ila tuna tofautiana scale - naamini hata Leo akisema Sinto Gombea Ila Nita wakabidhi Taita lenu kwa Amani -yaliopita si ndwele tugange yajayo- atawafurasha wengi - na Bado at a nufaika na kutumika kwa mengi...Mbona Ni jadi yetu waafrika wote wazee watabaki Kua viongozi wa viongozi-
 
Mi nafikiri Mugabe alikua anafuata mkumbo...tu..Kwamunonekano wake!! ni dhahili kabisa anakichaa!!!..au malaria sugu!!..Na hii yote imesababishwa na marafiki zake wa karibu kupoteza kabisa Dira ya yale walio kua waki yazungumza ujanani..!!yawezekana walimfundisha ushujaa kabla topic haija isha wakapotea!!... wapo rafiki zake walio aga Dunia!!/ wapo rafiki zake walio achwa na kuacha madalaka huku nyuma yao wakizongwa na kashfa!!

nafikiri mgabe alipangwa vizuri akapangika na hao marafiki zake lakini mwishoni hakukuta kile alichokua ana tarajia...

labda nchi kubwa ya Africa!!...Tanzania inawajibika moja kwa moja na kichaa cha Mugabe!! vita mstari wa mbele na siasa ya ubaguzi kusini mwa Afrika... sijui unanielewa!!? au una endelea kulewa!!?

Kichaa kiko wapi sasa?
 
1474225443138.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom