Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Habari wana jf, me na Madame B tulikuwa tunauguliwa na baba yetu, anaumwa kansa ya tumbo kwa mda sasa, sasa leo tumepigiwa cm asubuhi sana kuwa amezidiwa sana, hapa tupo njiani tunaenda mbezi alipokuwa anaugulia, lkn nahc kuna kitu zaidi ya kuzidiwa, mtuombee tusikute msiba, hapa naandika kwa kujikaza