Babu DC nakubaliana na wewe maana kama bint akizaa inamletea matatizo ni bora atulie kwanza mpaka aone upepo unaelekea kusini au vinginevyo!
mwambie cindy hasihofu ni upepo tu utapita, atapata anayempenda,japo wanaume weng hawapendi wanawake wenye watoto, ukiongezea na kuachika huo ni upepo mkubwa.
Well said mkuu.nakupa 'like'.Kaunga my sis..how are you
Lakini mko tofauti mind you as wengine ukimpa ukweli aweza lia mpaka ukaanza kujisikia vibaya.....sasa its better to quit than telling it at the opening and leave a psychological scar and a permanent attitudinal depression......
Hili kwa mwanaume yeyote mwenye busara ni kukaa kimya unless the second side atake maelezo na pia inabidi kupima sana kbla ya ku burst open kwa sababu tajwa hapo juu
Bishanga hili swali ni wewe umelianzisha yule njemba hakutoa sababu ya kwanini kakimbia. Kumbuka ya kuwa alilia simu ya Cindy kutokana na taswira ya picha tu aliyoiona na alipokutana naye na kukaa naye kitako hatujui alipata picha ipi.................yawezekana majukumu tajwa yalimtibua au aliona hawataeza kuelewana na Cindy.............
Amwagee wa nini naye ni married? Kama mumewe bado yupo hai huyo bado kaolewa tu.................njemba haina sababu ya kumkashifu Mwenyezi Mungu kwa kuzini na mke wa mtu....lol.....................Kaunga you are better than this nonsense
You are absolutely right,uhayani kijana akioa mwanamke mwenye mtoto (achila mbali divorcee) basi haruhusiwi 'kuramya' ie kuitwa mwanaume na akifa kwenye kaburi lake anawekewa kipande cha mgomba kuashiriakafa bila 'kuoa'.Umeona ndugu Rutta,
Huyu Bishanga mchokozi sana...
Anajua fika, jinsi jamii (na especially huko kwao) inavyomchukulia mwanamke mwenye mtoto/watoto na pia ambavyo watu walivyo na uvumilivu mdogo (near zero tolerance) kwa mwanamume ambaye anaamua kumuoa mwanamke kama huyo.
Ninafahamu kuwa Wahaya wameenda mbali, na wana majina yanayotumiwa kuwaita wanawake wa namna hiyo (nasikia wanaitwa enyailya) na yanaonesha level ya juu kabisa ya unyanyapaa kwa mwanamke mwenye mtoto. Na sasa huyo Candy ana mzigo mwingine wa kuachika.....
No way, inabidi apate mwanamume mwenye mizigo pia..Vinginevyo, siwezi kumshauri kijana wa watu amvae mama kama huyo....
Samahani kama ninaandika mambo yanayokera wadau wengine ila kwa bahati mbaya mie naona kuwa hizo ni facts na si vinginevyo!
Babu DC!!
Too sad Eiyer,lakini jamii zetu ndivyo zilivyo.Ila huyu mama akipata fellow divorcee it might work.Now nimejua namna wanawake wenye watoto wanavyoteseka na jamii kuwanyanyapaa kwa sababu wana watoto,jambo hili litaongeza maumivu sana kwa wanawake ambao tayari wako kwenye ndoa zenye mateso!Watahofia kuondoka kwa kujua after that hakuna mwanaume atakua anashida nae kwa sababu ya watoto au mtoto unless awe na vitu vya kuwavuta wanaume kama fedha n.k.To my opinion mwanamke wa aina hii ni mwanamke bora kuliko asiyekuwa na mtoto!
Babu DC nakubaliana na wewe maana kama bint akizaa inamletea matatizo ni bora atulie kwanza mpaka aone upepo unaelekea kusini au vinginevyo!
Nimeanza kwenda gym.
(Just for you).
You are absolutely right,uhayani kijana akioa mwanamke mwenye mtoto (achila mbali divorcee) basi haruhusiwi 'kuramya' ie kuitwa mwanaume na akifa kwenye kaburi lake anawekewa kipande cha mgomba kuashiriakafa bila 'kuoa'.
Is it fair lakini?
Kakimbia majukumu,kaona watoto wawili watakua mzigo kwake..
Too sad Eiyer,lakini jamii zetu ndivyo zilivyo.Ila huyu mama akipata fellow divorcee it might work.
Babu Dark City hapa huyu jamaa alikoseaFL1,
Siyo kila jaribio linafaa kujaribiwa.....Hata kama ningependa vipi boga, mara nyingi napenda kubaki na uhuru wangu wa kuamua kama nipende na ua lake au la!! Tatizo boga halitakuwa na raha wa amani tena, kama halina hakika kwamba ua lake linapendwa pia!
Nigejaribu kila njia kutojiingiza kwenye biashara ya namna hiyo!! Ndiyo maana nasema kuwa huyo mwanamue alifanya uamuzi wa busara sana!
Babu DC!!
Bishanga hakuna anaewakataza mabinti kuzaa,but wanapopanga kuzaa wazae wakiwa wamejiandaa wasitarajie wazazi wenzao au wazazi wao,hao wawafanye kama extra tu.I use to tell my sister,asidhani kuwa nitakuja gombana nae kisa nimemkuta na mwanaume.Nilimwambia ajifunze kujilinda na kujiamulia mambo yake mwenyewe bila kututegemea sisi.Nikamwambia akiharibu atakua anaharibu maisha yake mwenyewe wala sio ya mtu mwingine!So binti yoyote anataki aelewe hivyo.Wapo ambao wamejikuta wanafanya kazi za ajabu kama vile ukahaba ili wakidhi mahitaji ya watoto wao,matokeo yake wanaishia kupoteza maisha yao,what a shame!
You are absolutely right,uhayani kijana akioa mwanamke mwenye mtoto (achila mbali divorcee) basi haruhusiwi 'kuramya' ie kuitwa mwanaume na akifa kwenye kaburi lake anawekewa kipande cha mgomba kuashiriakafa bila 'kuoa'.
Is it fair lakini?