Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Mkuu "nimegooguka" hakuna profile yake hata katika secondary schools,sijui ni darasa la saba.Haya ni mazingaombwe mengine kama ya Kova
yaani kote huko hakuna. Hili jina haliko fB, twitter, google, wikipedia wala vodacom. Wenye access na makampuni mengine hebu check halafu mwaga namba jamvini