Mtoto wangu ananishangaza

Niaje wakuu

Tusichoshane.

Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikjolei wala kujinyea.

Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.

Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila hakijaisha. Na kula anakula hachagui chakula na kunywa maji, juice anakunywa kila siku ila hajikojolei.

Huyu chaliangu ni jembe.

Au wamama mnasemaje? Dr Lizzy Simara Culture Me cocastic Sky Eclat Joanah Bushmamy Numbisa Shunie Depal Makiwendo Evelyn Salt Hannah Stress Challenger Chaliifrancisco
Probably ni first born ndio maana unashangaa, kawaida sana mtoto kutembea miezi nane, na inawezekana mlimzoweza mapema kutojidia kwenye diapers ndio maana akitaka kujisaidia anasema

Hongera sana
 
Niaje wakuu

Tusichoshane.

Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikjolei wala kujinyea.

Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.

Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila hakijaisha. Na kula anakula hachagui chakula na kunywa maji, juice anakunywa kila siku ila hajikojolei.

Huyu chaliangu ni jembe.

Au wamama mnasemaje? Dr Lizzy Simara Culture Me cocastic Sky Eclat Joanah Bushmamy Numbisa Shunie Depal Makiwendo Evelyn Salt Hannah Stress Challenger Chaliifrancisco
Umezaa genius.... hongera
 
Hongera mkuu, watoto hawafanani na ata ivyo watoto wengi wa siku hizi wako Smart sana. Yaani wanazaliwa wakiwa na akili zao kabisa tofauti na sie kipindi Tunakua akili tumezikuta ukubwani.

Pia ni wakati wako wa kujua kipaji Gani anacho mbali na u-smart anauonyesha, hiyo itasaidia kumkuxa katika Taaluma yake Binasfi.

GOODLUCKY
 
Back
Top Bottom