Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,817
- 71,500
Coca una watoto wangapi?ni nani aliyeliwa nauli, na alikutana na nani? Hebu wekeni wazi bas. Khaaaaah
Coca una watoto wangapi?ni nani aliyeliwa nauli, na alikutana na nani? Hebu wekeni wazi bas. Khaaaaah
Probably ni first born ndio maana unashangaa, kawaida sana mtoto kutembea miezi nane, na inawezekana mlimzoweza mapema kutojidia kwenye diapers ndio maana akitaka kujisaidia anasemaNiaje wakuu
Tusichoshane.
Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikjolei wala kujinyea.
Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.
Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila hakijaisha. Na kula anakula hachagui chakula na kunywa maji, juice anakunywa kila siku ila hajikojolei.
Huyu chaliangu ni jembe.
Au wamama mnasemaje? Dr Lizzy Simara Culture Me cocastic Sky Eclat Joanah Bushmamy Numbisa Shunie Depal Makiwendo Evelyn Salt Hannah Stress Challenger Chaliifrancisco
Umezaa genius.... hongeraNiaje wakuu
Tusichoshane.
Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikjolei wala kujinyea.
Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.
Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila hakijaisha. Na kula anakula hachagui chakula na kunywa maji, juice anakunywa kila siku ila hajikojolei.
Huyu chaliangu ni jembe.
Au wamama mnasemaje? Dr Lizzy Simara Culture Me cocastic Sky Eclat Joanah Bushmamy Numbisa Shunie Depal Makiwendo Evelyn Salt Hannah Stress Challenger Chaliifrancisco
Ndo kiumbe kiko tumboni, August naenda leba kushusua mtoto wangu.Coca una watoto wangapi?
Unataka kusemaje ? 🤔Haina noma siku hizi umepata danga zuri unaniona waki sana.
HongeraNdo kiumbe kiko tumboni, August naenda leba kushusua mtoto wangu.
Nataka kusema hayo uliyoyasomaUnataka kusemaje ? 🤔
Town skonga ukijikimbiza tarajia breakdown zipoAo uliowatag ni wanaume wenzio wanatumia majina yanayotaka kufanana na kike ,kuwa Makin Kuna Mtu amewaona na wamemlia nauli na kakutana nao ni upinde
Yan ushawahi kuwa babe wangu na sasa nimempata aliyekuzidi ndio nimekukacha?Nataka kusema hayo uliyoyasoma
Ahsanteee!!!Hongera
Sijasema hayoYan ushawahi kuwa babe wangu na sasa nimempata aliyekuzidi ndio nimekukacha?
Lini hayo yalitokea? Mbona siyajui
Kwa hiyo unamaanisha Depal anaweza akawa mwanetu kabisa ila kavaa uhusika wa kike JF 😀😀😀Ao uliowatag ni wanaume wenzio wanatumia majina yanayotaka kufanana na kike ,kuwa Makin Kuna Mtu amewaona na wamemlia nauli na kakutana nao ni upinde
JishaueeeSijasema hayo
Sorry nisije kukuharibia njaro zakoJishaueee
Ndio wajanja mno hawaKwa hiyo unamaanisha Depal anaweza akawa mwanetu kabisa ila kavaa uhusika wa kike JF 😀😀😀
Tuma voice note ya hiyo sorrySorry nisije kukuharibia njaro zako