Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,669
- 10,348
Kama mtoto sio wa jamaa hapo mwanamke hawezi kukubali. Kuchukua hicho kipimo kwa Tanzania lazima mwanamke pia akubali hata ivyo nasikia majibu huwa yanachakachuliwa wanasema wanalinda masilahi ya mtotoPima DNA