Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 55
- 63
Wadau habarini,
Kuna mwanamke mmoja nilikuwa na mahusiano nae, baada ya miezi mitatu ananiambia ana ujauzito nilipomwuliza kwa kina akasema ni wangu. Baada ya wiki mbili akanionesha mstar uliochora katikati ya tumbo akisema mimba Ina miezi mitatu kwenda wa nne huku Ina mstari. Nilipowashirikisha marafiki wakasema mimba hiyo ina miezi mitano. Baada ya miezi minne alijifungua. Kwangu nikimwesabia miezi toka tarehe niliyoanza nae kulala ni miezi 7 tarehe 27/11/2022 mpaka tarehe 14/06/2023 alijifungua tarehe 14/06/2023 Sasa anasema atajuaje kuwa mtoto ni wa nani?
(Kumbuka alipata shida ya kupata ujauzito takribani miaka 5 baada ya kuwa na watoto 4 kwahiyo alikata tamaa ya kupata ujauzito akawa anajiachia kwa mwanaume yeyote bila wasiwasi)
Sasa ananing'ang'anizaa mtoto awe wangu nami namjibu kinusunusu nikimkataa anasononeka nikimkubali anafurahi wakati huo moyoni najua mtoto siyo wangu Sasa nifanye nini kuondokana na jambo hili?
Kuna mwanamke mmoja nilikuwa na mahusiano nae, baada ya miezi mitatu ananiambia ana ujauzito nilipomwuliza kwa kina akasema ni wangu. Baada ya wiki mbili akanionesha mstar uliochora katikati ya tumbo akisema mimba Ina miezi mitatu kwenda wa nne huku Ina mstari. Nilipowashirikisha marafiki wakasema mimba hiyo ina miezi mitano. Baada ya miezi minne alijifungua. Kwangu nikimwesabia miezi toka tarehe niliyoanza nae kulala ni miezi 7 tarehe 27/11/2022 mpaka tarehe 14/06/2023 alijifungua tarehe 14/06/2023 Sasa anasema atajuaje kuwa mtoto ni wa nani?
(Kumbuka alipata shida ya kupata ujauzito takribani miaka 5 baada ya kuwa na watoto 4 kwahiyo alikata tamaa ya kupata ujauzito akawa anajiachia kwa mwanaume yeyote bila wasiwasi)
Sasa ananing'ang'anizaa mtoto awe wangu nami namjibu kinusunusu nikimkataa anasononeka nikimkubali anafurahi wakati huo moyoni najua mtoto siyo wangu Sasa nifanye nini kuondokana na jambo hili?