Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
Halafu wanajifanya wanawachukia baba zao eti mafisadi,kwani mtoto wa panya hakosi mkia,huko USA kafika kwa pesa gani?
Halafu kuna yule alikuwa mwenyekiti wa vijana arusha wa ccm walimchukua kwa mbwembwe kaishia wapi?