wewe fia huko na umasikini wakoHawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
Usikute katumwa.....hhahaaha
Na sasa pongezi za pekee ziwaendee Makamanda wapya Makongoro Wasira Junior, na Neema Kambona kwa kutoa mfano wa mwelekeo mpya kwa vijana kote nchini. Karibuni sana tukapiganie mabadiliko sote kwa pamoja tutashinda ufisadi na mauaji ya raia inayotekelezwa na CCM hivi sasa.
uko sawa mkuu ana kadi namba 5, na bado hajarudisha,Niliwahi kusikia pia Steven Wassira alikuwa ni miongoni mwa waasisi wa Chadema, wengine ni Bob Makani, Edwin Mtei, Freeman Mbowe nk.Mwenye kumbukumbu za uhakika anaweza kunisahihisha kama nipo wrong.
Huyo Makongoro na Neema wana nini special mpaka unawapa pongezi za pekee? Je wao ni bora kuliko wengine waliojiunga?
Je, hawa wakigombea uongozi hawatabebwa na huo uspecial mnaowapa?
Je, haya ndio mabadiliko mnayohubiri?
Au amesoma upepo akajua ili jina lao libaki lazima aingie kwenye chama chenye future!
Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejinga na M4C. Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM. Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.
Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
Angalia picha hapa CHADEMA USA