Stephen Wassira hafai kwa lolote. Hata akisafishwa, hasafishiki. Siku akiingia CDM, na akakubaliwa, ndipo nitakapojiridhisha kuwa CDM tumekuwa vilaza wa kufikiri. HIVI WASIRA AKIJA CHADEMA, TUTAMPA KAZI GANI?
Historia inatuambia kuwa Wassira aliwahi kujinga na chama cha upinzani (NCCR MAGEUZI).Pengine siku za mwisho za CCM zikikaribia anaweza kuwa mwanachama wa CHADEMA.
Under cover
Niliwahi kukuta thread ya waasisi wa CDM na Wassira ni miongoni mwao, may be mtoto kaamua kutimiza ndoto ya baba yake.Historia inatuambia kuwa Wassira aliwahi kujinga na chama cha upinzani (NCCR MAGEUZI).Pengine siku za mwisho za CCM zikikaribia anaweza kuwa mwanachama wa CHADEMA.
Anataka kuchukua jimbo baada ya mzee kustaafu 2015 kwa lazima!!
usikute katumwa.....hhahaaha
Riz1, Fredrick na Januari are next
Kasharobana bwana! Ukitaka kucheka njoo JF kunaondoa stress za kutwa, hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaMMM, HAWA NI VIMEO ATI, LAZIMA WAAPISHWE KABLA YA KUPEWA KADi
Ni mtoto wa Tyson Wasira huyu?
Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa