Maneno matupu yule.
kumbe unalizungumzia lile jibwa lisilo na meno,kazi kulialia tu..
Salamu wana JF,
Kila kukicha majina wa sifa yanaibuka. Siku moja likaibuliwa jina la 'Mtoto wa Mkulima' maana yake ikiwa ni kuwajali wakulima wa Tanzania na watu wengine wenye kipato cha chini, hii ilitokea mara baada ya kupendekezwa, kupitishwa na kuapa kuwa kiongozi mkuu wa serikali bungeni.
Tumaini la watanzania likawa ni kuwa na maisha bora mara baada ya kuongozwa na mtu (maskini) mwenzao. Tofauti na ilivyotarajiwa mtoto wa mkulima hajulikani analima wapi au anawalimia wakina nani?. Kwanini haonekani hata shambani wakati watu wanauana Arusha, migodi ya madini inaua watu, mkuu wa bunge anapandisha posho, vigogo wanatibiwa India, madini yanaibwa, matunda yanaozea shambani kwa kutaja machache. Mtoto wa mkulima kweli anasimamia shamba la baba yake, ameshindwa au amelewa ulanzi?
Ushauri wangu kwake ni kumtaka asimame pamoja na maskini wenzake aseme sasa basi, sisi tunajiweza kwasababu tuna raslimali tunazo za kutosha............!
pm gani anavaa tshirt ya tusker bwana huyu ni mnywaji sio mkulima, huyu ameshamaliza kulima sasa hivi anavuna. Nashut down