Umeona nimebadilisha ? sweetdreams Dena.Thanks you made my night stress free in my mind now.
G9t
Umeona nimebadilisha ? sweetdreams Dena.Thanks you made my night stress free in my mind now.
G9t
Akilala na mama yake inahuu nini ....mi wakat niko A-level nilipangiwa shule y mkoa anaoish dada yangu.nilikua nalala na dada yangu tena kitanda ki1 coz alikua anachumba hicho kimoja na niliku safe kabisa ht nilikua sihisi chochote ....hakuna m2 anaependa hali hiyo ht mimi nilikua cfurahii ila unakua huna la kufanya .....yacyokuhuu achana nayo.ngoja niombe kw invisible ruhusa y kuku2kana ntrudi.
Umeona eehhh hata haimuhusu yeye anaanza kiherehere yeye kaambiwa hajaombwa ushauri anaanza eti nimshauri ahame kakwambia anataka kuhama?? Shame on you!!!
kama dingi yake yupo hai, mchukueni mkampime akili, babake atakuwa amechizi....kama hayuko hai, basi jamaa anaweza kuwa anafanya kitu kibaya na mamake...sasa, chumba kimoja na mama, mama akila maharage jana yake midundo ikisikika jamaa anasikilizia na kuinusa anajisikiaje, yeye pia anajisikiaje kufanya hivyo? sijawahi kusikia, ila kwa wachawi tu, ambao huwa wanafnaya hivyo kwa madawa, wengine wanalala na mama zao hata wakwe zao na kufanya nao ngono ili kulisha uchawi...
ukifatilia hii mada,utagundua akili zetu wengi ni ngono 24/7,mmewezaje kkukimbilia huko baina ya mama na mtoto.....:hand:
hahahahahahaha! Hili nalo neno.Mtotohakui kwa mamake, labda mamake anamlea bado, kuna watoto wanahitaji uangalizi usiku hasa ile tabia ya kujiviringisha na kujifunua so mama huwa anamfinika usikuakijifunua!
Jaman huyu jamaa ni rafk yang wa karibu umri wak ni miak 26.alinishangaz aliponambia jan kua analala chumb kimoj na mama yak,nilikosa cha kumwambia kwsabb niliona ni maajab.jaman nipeni ushaul nimshaulije mwenzang aweze kuhama?au unahis kuna nn hapo?