Payer
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 824
- 188
Sasa kipi cha ajabu hapo? We unafikiria nini kwani?
Mie toka ugonjwa wa dengue uingie nimehamia chumbani kwa kaka yangu. Ni kama vile mmelala jinsia moja tu...
Dengu Mbona la kawaida sana... nunua panadol na maji Lita 6+ chumbani. You will be safe