Mtoto wa kiume na mama yake wanalala Chumba Kimoja

kameja

Member
Sep 19, 2010
6
0
Jaman huyu jamaa ni rafiki yangu wa karibu umri wak ni miaka 26. Alinishangaza aliponambia jana kua analala chumba kimoja na mama yake,nilikosa cha kumwambia kwasababu niliona ni maajabu.

Jamani nipeni ushauri nimshaulije mwenzangu aweze kuhama? au unahis kuna nini hapo?
 
mmmmhhhhh,unafikiri yeye hajui kuwa hilo si sahihi kwa umri wake?? ni maajabu kwa kweli,nyumba yao ina vyumba vingine au ndo kimjini mjini???wameanza lini?isisje ikawa wameanza zamani.......!!!wonders shall never end....oooohh!!

muulize kwanza,anaelewa hilo ni kosa mshauri na msaidie kuhama kama unaweza...........!!!!!!!!!!!!
 
kama hali yao kimaisha ni tete, hilo so la kushangaa,,,,, kwani maisha ni jinsi unavyoishi we mwenyewe kwa hali ya kipato chako..
 
Hii taarifa haijakamilika hujasema kama wana chumba kimoja tu au labda mama ana matatizo ya kiafya anahitaji kuangaliwa usiku,hata mimi nililala chumba kimoja na mama alipopata stroke mpaka alipopata nafuu.
 
Labda mamake anaogopa kulala peke yake au rafiki yako anaogopa kulala peke yake lol.


Kama kaweza kukwambia analala chumba kimoja na mamake, basi ana uwezo wa kukwambia sababu inayomfanya walale chumba kimoja. Wewe ulifanya kosa kuto muuliza pale plae.
 
Uliza vizuri labda ni kipato maisha ya mijini yasikie tu.....omba Mungu hapo ulipo maana kuna mengine balaaaaaa.....tembea uoneee
 
Unashangaa we una nyumba kubwa??????

Hivi unaelewa hasa maana ya neno umasikini??????

Hebu tembea uone kwanza.....kabla ya kushangaa mambo ya kawaida mno kwa
watanzania wengi...
 
Sababu ni nini?
Kuna mmoja alikuwa analala na kaka yake halafu umri wao ulikuwa unakaribiana.
Tatizo ilikuwa ni kipato.
Ni jambo la kuhuzunisha sio kushangaza.
Msaidie huyo rafiki yako.
 
Jaman huyu jamaa ni rafk yang wa karibu umri wak ni miak 26.alinishangaz aliponambia jan kua analala chumb kimoj na mama yak,nilikosa cha kumwambia kwsabb niliona ni maajab.jaman nipeni ushaul nimshaulije mwenzang aweze kuhama?au unahis kuna nn hapo?

Mwambie ahamie kwako ulale nae wewe chumba kimoja
 
Yaani wewe unafurahisha sana (Kama si ya kutunga hii)

Kwanza huyo rafiki yako kakueleza tu kuwa analala chumba kimoja na mama yake
Pili wewe hujaomba ushauri unaanza kuuliza umshaurije?? Kakwambia ana matatizo hapo anapolala na mama yake??

Punguza u**** utasutwa bure uvalishwe na khanga. Hayakuhusu kabisa hayo mambo ya nyumba za watu uyaache
 
Yaani wewe unafurahisha sana (Kama si ya kutunga hii)

Kwanza huyo rafiki yako kakueleza tu kuwa analala chumba kimoja na mama yake
Pili wewe hujaomba ushauri unaanza kuuliza umshaurije?? Kakwambia ana matatizo hapo anapolala na mama yake??

Punguza u**** utasutwa bure uvalishwe na khanga. Hayakuhusu kabisa hayo mambo ya nyumba za watu uyaache
Ungejuwa navopenda wadada wenye hasira we acha tu.
 
Labda ni maisha magumu...labda anampenda sana mama yake....labda anaogopa kulala mwenyewe..labda ni maagizo ya mganga!!We angalia mambo yako....siku akichoka au akiweza atajua mwenyewe cha kufanya maana wewe hata ushauri hajakuomba bado kwahiyo hayuko tayari kwa mabadiliko.
 
ndio hali zetu hizo,sasa wewe kumsaidia ndo waja kumsimanga humu ama kweli rafiki mkia wa fisi....nashukuru mungu sina hata mmoja:spider:
 
Back
Top Bottom