Jaman huyu jamaa ni rafiki yangu wa karibu umri wak ni miaka 26. Alinishangaza aliponambia jana kua analala chumba kimoja na mama yake,nilikosa cha kumwambia kwasababu niliona ni maajabu.
Jamani nipeni ushauri nimshaulije mwenzangu aweze kuhama? au unahis kuna nini hapo?
Jamani nipeni ushauri nimshaulije mwenzangu aweze kuhama? au unahis kuna nini hapo?