Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Jamani kwenda Tanga anahitaji visa? Tena watoto wa kule hawana makuu nakumbuka kipindi kile unahonga 10,000/= msambaa anaenda kukuletea change yako (5000) unamuuliza vipi anasema mbona raha tumepeana wote?
Masa, acha hiyo ya kurudishiwa chenji, mi nshampa mtu hiyo 10, akasema " jamani, hela zote hizi, si bora uende kwetu ukampe mama iwe ndio mahari yangu kabisa!!!!"