fiksiman
JF-Expert Member
- May 17, 2008
- 402
- 104
Jamani natafuta mchumba: tafadhali zingatia sifa zifuatavyo.
- awe anatokea maeneo ya Tanga, Zanzibar au Kilwa
- Awe mweupe na mrefu wastani asizidi cm 160
- awe mwembamba wastani yaani si mnene wala mwembamba
- Awe na makalio makubwa yasivunje rekodi yaani yawe dizaini ya kijungu fulani. yakitokeza sana ni sifa ya ziada
- Awe muislam - bikra ni sifa ya ziada
- Ajue kupika hasa wali wa nazi
- Elimu inategemea na sifa za hapo juu, hata kama amemaliza darasa la saba sio tatizo, nitamwendeleza mwenyewe.
Zipo sifa binafsi ambazo nisingependa niziweke hadharani ila kiufupi awe mshiriki mzuri katika mechi zote za ndani. maombi yenye picha yatajibiwa haraka.
Tafadhali tuwasiliane kwa private JF message.
- awe anatokea maeneo ya Tanga, Zanzibar au Kilwa
- Awe mweupe na mrefu wastani asizidi cm 160
- awe mwembamba wastani yaani si mnene wala mwembamba
- Awe na makalio makubwa yasivunje rekodi yaani yawe dizaini ya kijungu fulani. yakitokeza sana ni sifa ya ziada
- Awe muislam - bikra ni sifa ya ziada
- Ajue kupika hasa wali wa nazi
- Elimu inategemea na sifa za hapo juu, hata kama amemaliza darasa la saba sio tatizo, nitamwendeleza mwenyewe.
Zipo sifa binafsi ambazo nisingependa niziweke hadharani ila kiufupi awe mshiriki mzuri katika mechi zote za ndani. maombi yenye picha yatajibiwa haraka.
Tafadhali tuwasiliane kwa private JF message.