Mtoto wa kitanga anahitajika!!

fiksiman

JF-Expert Member
May 17, 2008
402
104
Jamani natafuta mchumba: tafadhali zingatia sifa zifuatavyo.

- awe anatokea maeneo ya Tanga, Zanzibar au Kilwa

- Awe mweupe na mrefu wastani asizidi cm 160

- awe mwembamba wastani yaani si mnene wala mwembamba

- Awe na makalio makubwa yasivunje rekodi yaani yawe dizaini ya kijungu fulani. yakitokeza sana ni sifa ya ziada

- Awe muislam - bikra ni sifa ya ziada

- Ajue kupika hasa wali wa nazi

- Elimu inategemea na sifa za hapo juu, hata kama amemaliza darasa la saba sio tatizo, nitamwendeleza mwenyewe.

Zipo sifa binafsi ambazo nisingependa niziweke hadharani ila kiufupi awe mshiriki mzuri katika mechi zote za ndani. maombi yenye picha yatajibiwa haraka.

Tafadhali tuwasiliane kwa private JF message.
 
mambo hayo!
Wakati watu wamegubikwa na simanzi kuhusu hatma ya nchi..kuna wengine hawana hata habari wanajinafasi tu kwa raha zao!

Haya wenye sifa- tajwa changamkieni tenda hiyo.
 
mambo hayo!
Wakati watu wamegubikwa na simanzi kuhusu hatma ya nchi..kuna wengine hawana hata habari wanajinafasi tu kwa raha zao!

Haya wenye sifa- tajwa changamkieni tenda hiyo.

Bibie hujaitwa huku kama simanzi kuna mahala pake pa kuzionyesha, tafadhali usinifukuzie mawindo....
 
hehehehe
ila kumbuka ukishampata useme hadharani maana sie wawindaji endelevu tunapenda sana kuwinda kundi lililotibuliwa.
ila nakushauri wapitishe kwangu (TBS) niwakague mmoja mmoja kama watakufaa au la.
 
...fiksiman, inaonyesha huyo binti wa kitanga mwenye sifa hizo tayari unamfahamu sema keshawahiwa!

Ukijapata mwingine mwenye sifa kama hizo una uhakika "hutomlinganisha" na tabia za huyo wa mwanzo? :)

Note; nimeweka msisitizo kwenye sifa na tabia!
 
- Elimu inategemea na sifa za hapo juu, hata kama amemaliza darasa la saba sio tatizo,

Kwa hiyo unataka ambaye hajamaliza darasa la saba:)?
 
Olalalalaaaah mzee wa tiGo huyu! Anazuga tu

Taib sheikh..hawa ndio wachimba choo wenyewe..lol

Hadith za wachimba vyoo zinanikumbusha mnamo mwaka ulopita kuna siku natoka jobu nakutana na bwana mdogo mmoja ..anaanza kurahirahi. Ikabidi nimpeleke kwenye grosari ya karibu aoshe koo lake ili anieleze vyema yepi yalomsibu. Kijana anaanza kutoa mchozi. Namuuliza kulikoni only to the saddest and disgusting of the stories kujua kuwa his manhood imepata infection, na further akadai hana ela kwani daktari amemwambia inabidi apigwe bomba kusafishwa. Niliposikia tu hivyo nikajua ni walewale.

The bottom line ni kuwa lets obey the nature..and don"t try to get xtra clever..
 
Taib sheikh..hawa ndio wachimba choo wenyewe..lol

Hadith za wachimba vyoo zinanikumbusha mnamo mwaka ulopita kuna siku natoka jobu nakutana na bwana mdogo mmoja ..anaanza kurahirahi. Ikabidi nimpeleke kwenye grosari ya karibu aoshe koo lake ili anieleze vyema yepi yalomsibu. Kijana anaanza kutoa mchozi. Namuuliza kulikoni only to the saddest and disgusting of the stories kujua kuwa his manhood imepata infection, na further akadai hana ela kwani daktari amemwambia inabidi apigwe bomba kusafishwa. Niliposikia tu hivyo nikajua ni walewale.

The bottom line ni kuwa lets obey the nature..and don"t try to get xtra clever..

...loh! hata mimi ningekuwa dakitari mbona hao "wazamia lulu" wangenikoma! niki imagine hilo bomba 'wanalopigwa' naona kama ile pampu ya baiskeli :)
 
Taib sheikh..hawa ndio wachimba choo wenyewe..lol

Hadith za wachimba vyoo zinanikumbusha mnamo mwaka ulopita kuna siku natoka jobu nakutana na bwana mdogo mmoja ..anaanza kurahirahi. Ikabidi nimpeleke kwenye grosari ya karibu aoshe koo lake ili anieleze vyema yepi yalomsibu. Kijana anaanza kutoa mchozi. Namuuliza kulikoni only to the saddest and disgusting of the stories kujua kuwa his manhood imepata infection, na further akadai hana ela kwani daktari amemwambia inabidi apigwe bomba kusafishwa. Niliposikia tu hivyo nikajua ni walewale.

The bottom line ni kuwa lets obey the nature..and don"t try to get xtra clever..

Jamani, toka nimeweka hii thread sijapata walau dalali ya kujitokeza naona watu tu wanapiga vijembe na wengine ndo hawa wameamua kuniharibia kabisa. Sasa mambo ya tigo humu ndani yamekujaje kama sio kuletea visa? Mimi mwenzenu natafuta mchumba wa kuoa kiukweli na experience yangu inaonyesha watoto wa kitanga na wachache wa pwani wametulia kwenye majambozi, sitaki kuoa afu nirudi tena kwenye kudonoa donoa.

Sasa nyie mnafikiri wakipitia hizo comments zenu atapata picha gani eeh..tuache masihara jamani na wale mlionipa ahadi za kunipa contact mbona jua lachwa sioni kitu, moyo sultani jamani vya kutamani sitaki tena. Mtu asijiridhishe na anchokipenda...tabia ya tigo mi sijawahi kabisa kuifanya labda nyie mnaosema, mimi mtoto wa kiislam safi kabisa, na punde ntafufua mkeka wangu nianze swala tano. NARUDIA TUSICHAFUANE MWENYE KUWEZA KUNISAIDIA AU MWENYE SIFA AJITOKEZE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom