Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Soma hapa chini...Nini maana yake?
Chipukizi ni form ya grooming too, enzi za TANU wakiitwa 'Young Pioneer', Mwalimu alitokanayo China alikolitoa Azimio La Arusha na siasa yake ya Ujamaa na Kujitegemea iliyobakia jina tuu kwenye katiba yetu ya Mwaka 1977.
Grooming always ni kitu kizuri, imekuwa ikifanyika for time immemorial kwenye royal families tangu ndoa inajulikana mtoto wa kwanza wa kiume kuzaliwa kuzaliwa ndio mrithi wa kiti cha ufalme wa babaye, hivyo tagu mimba, inakuwa groomed as the heir to the throne.
Mtoto huyo hulelewa kwa makuzi ya anticipated king, heavily mind indoctrination of not who is realy is, but who ought to be, 'king'.
Sasa kuna ubaya gani kuwagroom hawa vijana wadogo chpukizi wa CCM kuhusu chama chao na baadae kinatoa viongozi wazuri tuu, Nape ametokea Chipukizi, yule mwenyekiti wa zamani, Frank Uhahula ambaye sasa ni mkuu wa wilaya, ametokea chipukizi, the logic is to see the potential in them, groom them to make that potential a reality.
Huu msemo wa 'like father like son' unafanywa practical zaidi kwa kumgroom mwanao afuate nyayo zako ndio maana baada ta Karume Baba, sasa Karume ni rais wa Zanzibar, tumeona kwa Kabila, kwa Bush, Ghadhi, Kenyata, Oginga, Kenedies etc sometime baada ya mume ni mke, kama Sonia Ghadhi, Imelda Marcos, Mama Acquino, Winie Mandela etc, hakuna ubaya wowote, zamu za kina, Makongoro, Dr. Mwinyi, Nikolas, Ridhiwan etc zinafuatia with time.
Angalizo:Baba anaweza kuwa kiongozi bora na mwana asiwe, vile vile baba aweza kuwa kiongozi bomu, mwana akaja kuwa kiongozi bora. Issue isiwe kwa vile ni mtoto wa nani, bali iwe ni uwezo binafsi wa mtoto, ability na capability, kazi ya mzazi ni kumjengea tuu interest, ndicho wanachofanyiwa chipukizi hawa.