Kwani Chipukizi imeanza lini??,nijuavyo mimi Chipukizi imeanza tangu enzi za Nyerere(enzi za Chama kimoja),na viongozi wengi tu wa vyama kama CCM,CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi n.k wamepitia hiyo Chipukizi..Kwangu mimi naona si vibaya kuwashirikisha watoto kama hawa(wenye miaka 10 na kuendelea) kwenye siasa,watakulia(huko) CCM baadae wataamua ama kuendelea na hiyo CCM ama kujiunga na vyama vingine(viongozi na wanachama wengi wa vyama vya siasa Tanzania walipitia CCM ama kwa kuwa Chipukizi ama UVCCM) kabla ya mfumo wa vyama vingi kuanza..CCM wanajiandalia mtaji/hazina ya kisiasa miaka ijayo..Si vibaya kwa vyama vingine wakaanza kuwaandaa wanachama/viongozi wa kizazi kijacho kwa kupitia Chipukizi...Ni mtazamo tu wakuu..PamojaMababu wa CCM, Wazazi wa CCM, wake wa CCM, Wamama wa CCM, Vijana wa CCM , Chipukizi wa CCM, Wajukuu wa CCM hadi Watukuu wa CCM - jamani tunajenga Taifa gani au ndio mwanzo wa kutanguliza maslahi ya CCM kabla ya taifa.
- Kibunango, hivi kwa nini kuna sheria inayosema huwezi kujiandikisha kupiga kura hadi ufikishe miaka fulani ?
- Hawa watoto wanasafiri peke yao ama wanaongozana na ama wazazi wao au guardians wao ?
- Je, nani anawagharamia kwenye safari na malazi ama wanajilipia ? Kama wanagharamiwa je, ni chombo gani hicho na kinapataje pesa?
- Kama ni chama cha siasa (CCM) hiyo inaruhusiwa kisheria hivi vikinda kujishughulisha ama kutumiwa kisiasa ?
- Je, inakuwaje kama mtoto wa miaka kumi hakipendi chama cha baba yake na kwa mtindo huu tunawafundisha nini hawa kinda - kuwa wana tofauti na wenzao ?
- Je lengo hapa ni kama lile la Al Qaida la kuwasokomezea itikadi tangu utotoni - adui wao hapa ni nani ?
- Je, ni kweli kuwa CCM hawaoni hatari ya kuwapandikiza watoto wadogo hii tabia ya kubaguana ?
JK mwennyekiti,
Mama Salma (mke) mjumbe
Ridhiwani (mtoto) UVCCM
Khalfani (mtoto) mjumbe wa Baraza la Chipukizi na UVCCM
Sasa chama cha kifamilia na kikabila ni CHADEMA au CCM?
Wagombea waliompinga nao watakufa ghafla?Mtoto wa Kikwete ashinda kwa kishindo
Chipukizi ni form ya grooming too, enzi za TANU wakiitwa 'Young Pioneer', Mwalimu alitokanayo China alikolitoa Azimio La Arusha na siasa yake ya Ujamaa na Kujitegemea iliyobakia jina tuu kwenye katiba yetu ya Mwaka 1977.
Grooming always ni kitu kizuri, imekuwa ikifanyika for time immemorial kwenye royal families tangu ndoa inajulikana mtoto wa kwanza wa kiume kuzaliwa kuzaliwa ndio mrithi wa kiti cha ufalme wa babaye, hivyo tagu mimba, inakuwa groomed as the heir to the throne.
Mtoto huyo hulelewa kwa makuzi ya anticipated king, heavily mind indoctrination of not who is realy is, but who ought to be, 'king'.
Sasa kuna ubaya gani kuwagroom hawa vijana wadogo chpukizi wa CCM kuhusu chama chao na baadae kinatoa viongozi wazuri tuu, Nape ametokea Chipukizi, yule mwenyekiti wa zamani, Frank Uhahula ambaye sasa ni mkuu wa wilaya, ametokea chipukizi, the logic is to see the potential in them, groom them to make that potential a reality.
Huu msemo wa 'like father like son' unafanywa practical zaidi kwa kumgroom mwanao afuate nyayo zako ndio maana baada ta Karume Baba, sasa Karume ni rais wa Zanzibar, tumeona kwa Kabila, kwa Bush, Ghadhi, Kenyata, Oginga, Kenedies etc sometime baada ya mume ni mke, kama Sonia Ghadhi, Imelda Marcos, Mama Acquino, Winie Mandela etc, hakuna ubaya wowote, zamu za kina, Makongoro, Dr. Mwinyi, Nikolas, Ridhiwan etc zinafuatia with time.
Angalizo, Baba anaweza kuwa kiongozi bora na mwana asiwe, vile vile baba aweza kuwa kiongozi bomu, mwana akaja kuwa kiongozi bora.
Watoto hao walichagua kwa utashi wao, au ni vile huyo ni mtoto wa Rais na kampeni walipiga watu wengine kabisa. Hawa watoto badala ya kuhamasishwa kujipatia maarifa, wanafundishwa mipango ya kifisadi. sijui hata kama wenyewe wanajua wanagombea nini?
ukienda India angalia jinsi Jawaharlal Nehru familia yake ilivyojihusisha na siasa(ndani ya chama cha Congress) kwa kuanzia mwanaye Indira Gandhi mjukuu wake hayati Rajiv Gandhi,mkwewe Sonia Gandhi(Rais wa sasa wa Congress) na sasa wajukuu zake Rahul Gandhi(Katibu mkuu wa sasa wa Congress) na Priyanka Gandhi ambaye taratibu kaanza kujihusisha na siasa za India..
hao ni vijana chipukizi wa ccm kitaifa au ni vijana chipukizi wa ccm ambao ni watoto wa viongozi ambao wapo katika ccm? kuna mtoto wa mlala hoi aliyepata nafasi ya kugombea? wenye dataz plz....
Hivi Dogo Khalfani atakuwa akilipwa kiasi gani kwa kuwa Chipukizi Mkuu?
Sonia walishamtwaa kwa njia ile ile waliomtwaa Mahatma Gandhi, Indira Gandhi, Ranjiv Gandhi. Politics, not only a dirty game, but a dengerous too. Siasa sio tuu ni mchezo mchafu, bali ni wa hatari pia, hivyo hiyo chipukizi inawaanaa kwa yote na kukubali yote yakiwemo matokeo na yatokanayo, end results and consequenses.
Kwani Chipukizi imeanza lini??,nijuavyo mimi Chipukizi imeanza tangu enzi za Nyerere(enzi za Chama kimoja),na viongozi wengi tu wa vyama kama CCM,CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi n.k wamepitia hiyo Chipukizi..Kwangu mimi naona si vibaya kuwashirikisha watoto kama hawa(wenye miaka 10 na kuendelea) kwenye siasa,watakulia(huko) CCM baadae wataamua ama kuendelea na hiyo CCM ama kujiunga na vyama vingine(viongozi na wanachama wengi wa vyama vya siasa Tanzania walipitia CCM ama kwa kuwa Chipukizi ama UVCCM) kabla ya mfumo wa vyama vingi kuanza..CCM wanajiandalia mtaji/hazina ya kisiasa miaka ijayo..Si vibaya kwa vyama vingine wakaanza kuwaandaa wanachama/viongozi wa kizazi kijacho kwa kupitia Chipukizi...Ni mtazamo tu wakuu..Pamoja
Kwani Chipukizi imeanza lini??,nijuavyo mimi Chipukizi imeanza tangu enzi za Nyerere(enzi za Chama kimoja),na viongozi wengi tu wa vyama kama CCM,CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi n.k wamepitia hiyo Chipukizi..Kwangu mimi naona si vibaya kuwashirikisha watoto kama hawa(wenye miaka 10 na kuendelea) kwenye siasa,watakulia(huko) CCM baadae wataamua ama kuendelea na hiyo CCM ama kujiunga na vyama vingine(viongozi na wanachama wengi wa vyama vya siasa Tanzania walipitia CCM ama kwa kuwa Chipukizi ama UVCCM) kabla ya mfumo wa vyama vingi kuanza..CCM wanajiandalia mtaji/hazina ya kisiasa miaka ijayo..Si vibaya kwa vyama vingine wakaanza kuwaandaa wanachama/viongozi wa kizazi kijacho kwa kupitia Chipukizi...Ni mtazamo tu wakuu..Pamoja
Imeandikwa na John Nditi, Morogoro;
Tarehe: 30th December 2009
MKUTANO Mkuu wa Uchaguzi wa Chipukizi taifa umemchagua kwa kishindo mtoto wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete, Khalfani Kikwete (11) kuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Chipukizi Taifa Tanzania Bara.
Khalfani alipata kura 301 na kuwashinda wagombea wenzake 11. Kwa Tanzania Zanzibar, mshindi alikuwa Abdallah Haji Mgeni. Kutokana na ushindi huo Khalfani ataliwakilisha Baraza Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM).
Mtoto wa Katibu wa Fedha na Uchumi wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Amos Makala, Gabriel Makala (12), amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa.
Gabriel alishinda kwa kupata kura 300 kati ya kura 357, aliwashinda wagombea wanane,kura saba ziliharibika.
Uchaguzi Mkuu huo wa Chipukizi Taifa uliofanyika mjini Morogoro ni wa vijana wadogo wa CCM kutoka katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Nafasi ya Mkutano Mkuu wa UVCCM Taifa upande wa Tanzania Bara ilichukuliwa na Gladness Urassa na Ramadhani Guruwe,Tanzania Zanzibar ilichukuliwa na Elias Cassion.
Katika nafasi ya Kamati ya Uendeshaji Taifa Tanzania Bara, ilichukuliwa na Glory Mwambeleko na Asnail King, wakati upande wa Zanzibar, ilikwenda kwa Abdalah Haji Mgeni na Abdulatif Ramadhan Abdullah.
Source: Gazeti la Habari Leo
Sorry Bantalanda, nilimchanganya Sonia na Muhatma Benazil Bhutto, ndiye aliyetwaliwa. Kutwaliwa namaanisha kuuwawa, hao wote waliowawa. Sorry kwa inconveniences caused, you are right.Pasco,sijakuelewa hapo kwnye bold
Umeongea yoote mkuu,umemaliza...Well said
Sorry Bantalanda, nilimchanganya Sonia na Muhatma Benazil Bhutto, ndiye aliyetwaliwa. Kutwaliwa namaanisha kuuwawa, hao wote waliowawa. Sorry kwa inconveniences caused, you are right.