Atakua na uraia wa angani mkuu!!Samahani jamani
naomba kuuliza mama mjazito amepanda ndege ya klm kuelekea amsterdam mtoto akazaliwa angani
huyo mtoto anakuwa na uraia wa aina gani jamani???
Samahani jamani
naomba kuuliza mama mjazito amepanda ndege ya klm kuelekea amsterdam mtoto akazaliwa angani
huyo mtoto anakuwa na uraia wa aina gani jamani???
na iwapo ikafanya emergency landing na kutua italia kabla ya kwenda amsterdam ambapo ndio ilitakiwa first stop..inakuwaje??nakumbuka ilishawahi tokea mwaka juzi nikitokea jnb tukiwa boda ya mozambique mama mmoja akajifungua tukahamishwa kwenda mbele wakabaki kumsaidia baada ya muda tukaambiwa ndege inatua mozambique for emergency..na uzuri wake sheria za airline zinasema mtoto atakaezaliwa kwenye ndege anahudumiwa na airline husika mpaka mwisho na wanampa uhuru wa kupanda bure maisha yake yote..so sikujua yule mama wa tz alitokaje pale mozambique nikajiuliza leo kulikonijibu ni rahisi sana jiulize ndege alimozaliwa mtoto inatua nchi gani(first stop). Nchi atakapotua mtoto amabapo kimsingi atapatiwa huduma za uzazi za kwanza tuka kuzaliwa hapo ndipo uraia wake utakapopatikana.
Samahani jamani
naomba kuuliza mama mjazito amepanda ndege ya klm kuelekea amsterdam mtoto akazaliwa angani
huyo mtoto anakuwa na uraia wa aina gani jamani???
kama ni kweli ubataka kujua basi ni kwamba hakuna airline inayoruhusu mama mwenye mimba zaidi ya miazi 6 kusafiri kwa ndege zao.... Kwa hiyo kama ulikuwa unamaanisha kujua then swali lako hilo ndo jibu na halina validity kwa kuwa kitu hicho hakipo ....
Jibu ni rahisi sana, jiulize ndege alimozaliwa mtoto inatua nchi gani ? (first stop). Nchi ambayo ndege iliyobeba mtoto itatua, ndio nchi ambayo kimsingi mtoto atapatiwa huduma za uzazi za kwanza toka kuzaliwa. Hivyo basi hapo ndipo uraia wake utakapopatikana kwa kuzaliwa.
na iwapo ikafanya emergency landing na kutua italia kabla ya kwenda amsterdam ambapo ndio ilitakiwa first stop..inakuwaje??nakumbuka ilishawahi tokea mwaka juzi nikitokea jnb tukiwa boda ya mozambique mama mmoja akajifungua tukahamishwa kwenda mbele wakabaki kumsaidia baada ya muda tukaambiwa ndege inatua mozambique for emergency..na uzuri wake sheria za airline zinasema mtoto atakaezaliwa kwenye ndege anahudumiwa na airline husika mpaka mwisho na wanampa uhuru wa kupanda bure maisha yake yote..so sikujua yule mama wa tz alitokaje pale mozambique nikajiuliza leo kulikoni
Angani kuna mipaka pia!...
Sijajua sana utaratibu, but kwa experience ya siku za hivi karibuni, baadhi ya ndege hazikubali kumbeba mama mjamzito ambaye amebakiza siku chache kujifungua.Under the 1944 Convention on International Civil Aviation, articles 1721, all aircraft have the nationality of the state in which they are registered, and may not have multiple nationalities. For births, the law of the aircraft's nationality is applicable, and for births that occur in flight while the aircraft is not within the territory of any state, it is the only applicable law. However, if the aircraft is in or flying over the territory of another state, that state may also have concurrent jurisdiction, and the locus in quo principle may apply to the exact position of the aircraft when the birth occurred.[SUP][2][/SUP]
There are still very few Member States that are party to the 1961 Convention. Furthermore, conflicts of laws still exist, in particular between the laws of North and South American states, which typically adhere to the jus soli principle, and the laws of European states, which usually adhere to the jus sanguinis principle.[SUP][3][/SUP]