Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Kazi iPo babu..
Karibu sana afrodenzi na upunguze kupotea..sawa AD??
Kuna mambo ambayo wanaume karibia wanaume wote tunayakubali kwamba katika umri wowote yanaweza kukutokea na kwa kweli hutokea.
1. Kama mama yako ni mzuri sana... kwa ndani utajua na hata unaweza kukiri kwa maneno ila itaishia hapo. Kwa ndugu wengine wa karibu ni vile vile.
2. Ikitokea mama mzazi au ndugu wa karibu kama dada au mwanao akakukalia uchi kwa bahati mbaya na ukaona....biologja inaweza kugonga kengele ila nguvu hukatika mara moja unapostuka kuwa uliyemchungulia ni mama yako mzazi au ndugu wa karibu....Na kama akiendelea kukaa vibaya...utafanya kila njia usiendelee kumwangalia kwa sababu mwisho wake utahisi aibu sana! Huwezi kuendelea kuwa katika hali ya kusisimka kwani nguvu zitakuisha.
3. Kama ukipata bahati mbaya ya kuwasikia baba na mama yako mzazi wanafanya tendo la ndoa, utahisi hasira sana (na biolojia inaweza kuathirika pia ila itakuwa ni kwa muda mfupi sana). Na ikitokea mara nyingi unaweza kumchukia baba au wote wawili.
4. Na ukimfumania mama yako na mwanamume mwingine, unaweza kufanya jambo la ajabu sana. Wengine hufikia hatua ya kuua...!!
Sasa kwenye hili tukio, nashindwa kuelewa ni kwa jinsi gani huyo kijana aliweza kumudu kuwa na libido ya kutosha kwa miaka 10 huku akili yake ikijua kwamba anayefanya naye ndono ni mama mzazi!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: