Mtikila anajipinga mwenyewe hasa anaposema maneno haya:-
Hapa inaonyesha wazi kuwa lengo lake ni kuleta imani fulani ya kidini ktk siasa, kiasi kwamba nashindwa kuelewa anachopinga kuhusu mahakama ya kadhi na mahubiri anayotaka kuyaleta ktk siasa.
Maneno aliyoyasema ni mazito sana na kusema kweli yameniacha hoi, nashindwa kuamini kama maneno haya yamezungumzwa na Mtikila... its way out kwani Allah ni Mungu na unaposema Allah ni shetani sijui unachofundisha ni kitu gani. ndio matatizo ya Mkoloni haya kuwa Mungu ni GOD... period neno la mzungu nje ya hapo sio Mungu ila ni shetani.
Pili, sidhani kama ni busara viongozi wa dini kuingilia swala hili kwa sababu kutaleta matatizo zaidi ya kila hoja inayoweza kuwa solved kisiasa. Mathlan tukitumia imani za dini hata HIV itakuwa taabu sana kuipatia dawa.
Yawezekana kabisa kuwa waislaam wana makosa lakini sio swala la mhubiri wa dini nyingine kujiingiza katika sakata hili na kulifanya kuwa ni mashambulizi ya kidini. Nimeshauliza mara nyingi mbona waislaam hawaja unda kamati kupinga Jumapili kuwa siku ya mapumziko kisheria?...Tena basi Jumapili haihusiani kabisa na Yesu wala Mungu..sasa sijui shetani nani?
Kuna vitu ambavyo vinatakiwa kuachwa kama vilivyo kwani Ujamaa wetu haukujengwa kwa ku-question kila kitu kwa rangi zake bali tunatazama madhara yake kwa jamii nzima.
Jambo la mwisho ni kwamba kumekuwa na propaganda za nchi za magharibi kuhusu hili neno sheria kiasi kwamba limetumika vibaya kama vile neno Terrorist ama Jihad linahusiana na waislaam, wakati huo huo wapigania haki na Crusade ni maneno yanayokubalika pamoja na kwamba malengo ya wahusika ni moja ila inakuwa twisted kuondoa mrengo.
Ningeomba sana viongozi wa dini ya kikristu watueleze ubaya wa mahakama hii kwa jamii yetu ikiwa sheria za mahakama hizi zitawahusu waumini wa kiislaam tu katika maswala machache ambayo yametokana na kiapo chao cha ndoa. Ikiwa serikali inatambua shahada ya ndoa za kiislaam nashindwa kuelewa zinatambuliwa vipi na kwa sheria gani wakati ndoa hizi zinafungwa kwa sheria za kiislaam.
I wouldn't mind kama wakristu, Hindu, Budha ama Jews wataweza kuwa na suluhu za maswala ya kidini kupitia sheria za dini zao(kama zipo), kwani sintashangaa mwanamke wa kikiristu akidai taraka kwa sababu mumewe kaoa mke wa pili. The fact is kuna dini ama waumini wa dini wanaosema hawataweza kuoa/ kuolewa na mtu ambaye sio dhehebu lake. Je, huu ni ubaguzi ama ni haki ya mtu kuchagua mchumba amtakae kutokana na imani ya dini yake...
kwa hiyo tuwe na upeo mkubwa zaidi ktk swala hili zaidi ya kutazama rangi zetu na kwa waislaam ningependa sana kama kweli wanataka mahakama ya kadhi basi nao wafuate sheria za dini hasa katika maisha yao na sio kuvuta sheria ambazo zinaleta utata ktk maamuzi yake. Mathlan huwezi kuoa mke wa pili ikiwa huna ridhaa ya mke wa kwanza na sababu iwe wazi na kubwa kiasi kwamba kweli unaoa kwa kufikiria familia yako na sio nyege zako za chini. waislaam wengi Tanzania wana watoto nje ya ndoa zao jambo ambalo linaleta taabu ktk mgao wa mirathi na mahakama ya kadhi haiwezi kutoa haki sawa kwani sheria ya dini hairuhusu kuzaa nje ya ndoa. Nadhani swala hili halina waislaam wala wakristu haikubaliki pande zote. Matumizi ya mahakama ya kadhi itazidisha matatizo kwa waislaam wengi ambao wamefuata zaidi utamaduni wa mwafrika kuwa na wake wengi bila ridhaa ya yeyote yulew maadam mwanamme anajiamini badala ya sheria ya kidini.
If and when every Muslim follow the sheria, then we can adopt some of the sheria kwa wahusika maadam serikali yetu inatambua na kuheshimu shahada hizo. Otherwise, mahakama hizi hazina nafasi kabisa ktk taifa ambalo watu wamekubali kuchanganya ndoa zao bila kujali rangi za dini ama race. Kusema kweli Kenya na Uganda wao waislaam na wakristu ni tabaka jingine ktk makundi ya makabila yao wakati Tanzania siku hizi watu wanaoana bila kujali dini...hesabu ya ndoa nje ya dini ama madhehebu ni kubwa sana pia watoto nje ya ndoa ni kubwa sana.. mahakama ya kadhi haitaweza kutoa haki sawa kwa wahusika na hasa watoto waliozaliwa nje ya ndoa.
Naomba kuwakilisha!
Sikuingia katika siasa kwa njaa bali ni kuliubiri neno la mungu, alisema Mtikila.
Hapa inaonyesha wazi kuwa lengo lake ni kuleta imani fulani ya kidini ktk siasa, kiasi kwamba nashindwa kuelewa anachopinga kuhusu mahakama ya kadhi na mahubiri anayotaka kuyaleta ktk siasa.
Maneno aliyoyasema ni mazito sana na kusema kweli yameniacha hoi, nashindwa kuamini kama maneno haya yamezungumzwa na Mtikila... its way out kwani Allah ni Mungu na unaposema Allah ni shetani sijui unachofundisha ni kitu gani. ndio matatizo ya Mkoloni haya kuwa Mungu ni GOD... period neno la mzungu nje ya hapo sio Mungu ila ni shetani.
Pili, sidhani kama ni busara viongozi wa dini kuingilia swala hili kwa sababu kutaleta matatizo zaidi ya kila hoja inayoweza kuwa solved kisiasa. Mathlan tukitumia imani za dini hata HIV itakuwa taabu sana kuipatia dawa.
Yawezekana kabisa kuwa waislaam wana makosa lakini sio swala la mhubiri wa dini nyingine kujiingiza katika sakata hili na kulifanya kuwa ni mashambulizi ya kidini. Nimeshauliza mara nyingi mbona waislaam hawaja unda kamati kupinga Jumapili kuwa siku ya mapumziko kisheria?...Tena basi Jumapili haihusiani kabisa na Yesu wala Mungu..sasa sijui shetani nani?
Kuna vitu ambavyo vinatakiwa kuachwa kama vilivyo kwani Ujamaa wetu haukujengwa kwa ku-question kila kitu kwa rangi zake bali tunatazama madhara yake kwa jamii nzima.
Jambo la mwisho ni kwamba kumekuwa na propaganda za nchi za magharibi kuhusu hili neno sheria kiasi kwamba limetumika vibaya kama vile neno Terrorist ama Jihad linahusiana na waislaam, wakati huo huo wapigania haki na Crusade ni maneno yanayokubalika pamoja na kwamba malengo ya wahusika ni moja ila inakuwa twisted kuondoa mrengo.
Ningeomba sana viongozi wa dini ya kikristu watueleze ubaya wa mahakama hii kwa jamii yetu ikiwa sheria za mahakama hizi zitawahusu waumini wa kiislaam tu katika maswala machache ambayo yametokana na kiapo chao cha ndoa. Ikiwa serikali inatambua shahada ya ndoa za kiislaam nashindwa kuelewa zinatambuliwa vipi na kwa sheria gani wakati ndoa hizi zinafungwa kwa sheria za kiislaam.
I wouldn't mind kama wakristu, Hindu, Budha ama Jews wataweza kuwa na suluhu za maswala ya kidini kupitia sheria za dini zao(kama zipo), kwani sintashangaa mwanamke wa kikiristu akidai taraka kwa sababu mumewe kaoa mke wa pili. The fact is kuna dini ama waumini wa dini wanaosema hawataweza kuoa/ kuolewa na mtu ambaye sio dhehebu lake. Je, huu ni ubaguzi ama ni haki ya mtu kuchagua mchumba amtakae kutokana na imani ya dini yake...
kwa hiyo tuwe na upeo mkubwa zaidi ktk swala hili zaidi ya kutazama rangi zetu na kwa waislaam ningependa sana kama kweli wanataka mahakama ya kadhi basi nao wafuate sheria za dini hasa katika maisha yao na sio kuvuta sheria ambazo zinaleta utata ktk maamuzi yake. Mathlan huwezi kuoa mke wa pili ikiwa huna ridhaa ya mke wa kwanza na sababu iwe wazi na kubwa kiasi kwamba kweli unaoa kwa kufikiria familia yako na sio nyege zako za chini. waislaam wengi Tanzania wana watoto nje ya ndoa zao jambo ambalo linaleta taabu ktk mgao wa mirathi na mahakama ya kadhi haiwezi kutoa haki sawa kwani sheria ya dini hairuhusu kuzaa nje ya ndoa. Nadhani swala hili halina waislaam wala wakristu haikubaliki pande zote. Matumizi ya mahakama ya kadhi itazidisha matatizo kwa waislaam wengi ambao wamefuata zaidi utamaduni wa mwafrika kuwa na wake wengi bila ridhaa ya yeyote yulew maadam mwanamme anajiamini badala ya sheria ya kidini.
If and when every Muslim follow the sheria, then we can adopt some of the sheria kwa wahusika maadam serikali yetu inatambua na kuheshimu shahada hizo. Otherwise, mahakama hizi hazina nafasi kabisa ktk taifa ambalo watu wamekubali kuchanganya ndoa zao bila kujali rangi za dini ama race. Kusema kweli Kenya na Uganda wao waislaam na wakristu ni tabaka jingine ktk makundi ya makabila yao wakati Tanzania siku hizi watu wanaoana bila kujali dini...hesabu ya ndoa nje ya dini ama madhehebu ni kubwa sana pia watoto nje ya ndoa ni kubwa sana.. mahakama ya kadhi haitaweza kutoa haki sawa kwa wahusika na hasa watoto waliozaliwa nje ya ndoa.
Naomba kuwakilisha!