benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Pauline Philipo Gekul, mbunge wa Babati Mjini (CCM) amekamatwa na jeshi la polisi alipokuwa akijaribu kutoroka kuelekea nchini Kenya kupitia mpaka wa Holili, Rombo, Kilimanjaro. Hii ni nia OVU. Jambazi Pauline aliwateka Hashimu na Michael, kuwatesa na kuwawekea chupa makalioni.
====
Pauline Gekul akiwa kituo cha polisi
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, ACP George Katabazi amesema wanaendelea kufanya uchunguzi wa kina kufuatia sakata la vijana wawili wanaodaiwa kufanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji na aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul anayedaiwa kuwatendea vitendo hivyo tarehe 11.11.2023.
ACP Katabazi ameongeza kuwa wanaendelea na uchunguzi wa suala hili na mahojiano yamefanyika na yuko nje kwa dhamana (Mbunge wa Manyara Mhe. Pauline Philipo Gekul) hivyo bado tunaendelea na uchunguzi wa suala hili"
Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini anatuhumiwa kumfanyia unyanyasaji vijana wawili ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine waliwadhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa ili wakiri kutumwa kufanya uhalifu.
Saa chache baada ya habari kusambaa kuwa Pauline Gekul amefanya uhalifu, Rais Samia alitengua uteuzi wake wa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, lakini barua ya Ikulu haikuelezea sababu ya utenguzi wake.
Baada ya Pauline Gekul kutenguliwa, wanaJF walisema asiishie hatua hiyo bali anatakiwa kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani.
Zaidi soma:
Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Pauline Gekul anastahili kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani haraka sana. Amekichafua na kukipaka matope chama
CCM Manyara yakutana kumjadili Pauline Gekul, kutoa tamko Novemba 27, 2023
Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul
====
Pauline Gekul akiwa kituo cha polisi
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, ACP George Katabazi amesema wanaendelea kufanya uchunguzi wa kina kufuatia sakata la vijana wawili wanaodaiwa kufanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji na aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul anayedaiwa kuwatendea vitendo hivyo tarehe 11.11.2023.
ACP Katabazi ameongeza kuwa wanaendelea na uchunguzi wa suala hili na mahojiano yamefanyika na yuko nje kwa dhamana (Mbunge wa Manyara Mhe. Pauline Philipo Gekul) hivyo bado tunaendelea na uchunguzi wa suala hili"
Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini anatuhumiwa kumfanyia unyanyasaji vijana wawili ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine waliwadhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa ili wakiri kutumwa kufanya uhalifu.
Saa chache baada ya habari kusambaa kuwa Pauline Gekul amefanya uhalifu, Rais Samia alitengua uteuzi wake wa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, lakini barua ya Ikulu haikuelezea sababu ya utenguzi wake.
Baada ya Pauline Gekul kutenguliwa, wanaJF walisema asiishie hatua hiyo bali anatakiwa kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani.
Zaidi soma:
Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Pauline Gekul anastahili kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani haraka sana. Amekichafua na kukipaka matope chama
CCM Manyara yakutana kumjadili Pauline Gekul, kutoa tamko Novemba 27, 2023
Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul