Mtikila akamatwa na polisi kwa kumkashifu Rais

Polisi wa upelelezi (CID) kutoka makao makuu ya CID Dar es Salaam walimkamata Mchungaji Christopher Mtikila, jana saa 11 jioni (1700hrs) saa za Afrika Mashariki na kufanya naye mahojiano hadi saa 3.30 usiku (2100hrs) walipomuachia kabla ya kumkamata tena leo baada ya kumfanyia upekuzi nyumbani kwake Ilala flats, Block F 4 namba A 8, pale pale karibu na TBL, na sasa wamemshikilia Central Police station, hadi Jumatatu atakapopelekwa mahakamani.

Miongoni mwa matamshi aliyoyatoa ni pamoja na kumuita Rais Gaidi na mhuni. Katika mahojiano yote, Mtikila amekiri kusema maneno hayo na hakukataa hata neno moja na mengine makali zaidi na aliyahalalisha kwa kurejea maandiko mbalimbali

Mkewe sasa anamwomba Gaidi na Mhuni aunde tume kwa ajili ya kuchunguza kifo cha Mchungaji Christopher Mtikila...Hakika maajabu Tanzania hayataisha kamwe!!!.. Mimi nitampigia kura yangu ya thamani “EDWARD NGOYAI LOWASSA” pamoja na “Diwani na “Mbunge” wa UKAWA!!..Kwa maisha bora ya kwako na ya Kizazi chako Ondoa CCM,kwani imeishiwa pumzi na imeshindwa kutatua matatizo ya Ujinga,maradhi,Umaskini na Ufisadi.(CCM ni jumba la MAFISADI) !!!! “ALUTA Continua, Victoria Ascerta”.... “The Struggle Continues, Victory is Certain”; ...Mapambano yanaendelea, Ushindi unakuja!!
 
Back
Top Bottom