Mtera: Lameck John Lubote aanika unafiki wa CHADEMA

Huyu jamaa na mwenzake amesema mwenyewe kuwa wameamua kukipa talaka chama cha chadema jana na kukisusa kwan kinaendeshwa kama kampuni binafsi kwan wamekuwa hawashirikishwi katika maamzi,wanashangaa chadema kususa bunge la katiba wakati hiyo ilikuwa ni ajenda yao 2010 kwenye ilani.
source: tbc television

Lets be honest guys do we call this news and one lunatic guy is briniging it to this forum for a debate ?
 
jibuni hoja zilizotolewa kwenye waraka msikwepe hoja kwa kushambulia watu binafsi? Mbona cdm mnajifanya watakatifu sana kumbe ni wanafiki wakubwa? Dawa yenu inachemka na mtaona mavuno yenu katika uchaguzi wa des 2014 na okt 2015

gamba.
 
Huyo anaitwa Bwana Lameck Lubote namfahamu sana kwenye siasa zetu za Dodoma, hakuwa katibu wa Chadema jimbo la Mtera kama ambavyo ametambulishwa, Muda wake wa kukaa madarakani uliisha na kwa kuwa alikuwa amepaga kuhujumu chama na intelijensia ya Chama ilishajua ulimuweka benchi kujihususha na shughuli za chama toka muda mrefu na Uchaguzi wa Jimbo la Mtera ulisimamishwa, alihusika kuhujumu uchaguzi wa Kata ya Mpwayungu huwa anahongwa hela za bia la Lucinde, si mtu makini anaongozwa na njaa zake. Ni Kazi ya CCM kujiokoteza makapi chini ya meza ya Chadema.

Kumbe Ndo hivyo,du! Kama ni kweli bas siasa ni mchezo mchafu.
 
Huyo anaitwa Bwana Lameck Lubote namfahamu sana kwenye siasa zetu za Dodoma, hakuwa katibu wa Chadema jimbo la Mtera kama ambavyo ametambulishwa, Muda wake wa kukaa madarakani uliisha na kwa kuwa alikuwa amepaga kuhujumu chama na intelijensia ya Chama ilishajua ulimuweka benchi kujihususha na shughuli za chama toka muda mrefu na Uchaguzi wa Jimbo la Mtera ulisimamishwa, alihusika kuhujumu uchaguzi wa Kata ya Mpwayungu huwa anahongwa hela za bia la Lucinde, si mtu makini anaongozwa na njaa zake. Ni Kazi ya CCM kujiokoteza makapi chini ya meza ya Chadema.

kwi kwi kwi! huyu agwe kwa kupenda ugimbi (mnyapembe), nyama choma hasa siku za mnada hajambo
 
Hivi UKAWA wamekubali kuingia katika uchaguzi wa serikali za mitaa kabla ya kuboresha daftari la kupigia kura?

- Nje ya daftari la kupigia kura kuna watu wengi hawakujiandikisha
- Je, muda uliobaki unatosha kuandikisha wapiga kura wapya na kufuta waliofariki au kuhama?
- Idadi kadhaa iliyopo katika daftari hilo la 2009-2010 ni ya kimangumashi, je, UKAWA wamejipanga vipi kuhakikisha daftari na utaratibu wa kupiga kura hadi kuhesabu kura havichakachuliwi?

- Masunduku hewa yanaingizwa kwa mbinu tofauti tofauti, UKAWA wajipanga vipi?

Hii inastahili kuanzishiwa uzi pekee kabisa.
 
CHADEMA kuondokewa na mtu kama John Lameck Lubote ni kupunguza mizigo. Kwa tunaomfahamu tulijipa muda na sasa yameanza kudhihirika kabla hata ya muda wa kumtazama. Inadhihirisha hata jinsi alivyofukuzwa NMB Mtendeni branch Dodoma, kufukuzwa kibarua Tanesco na kuachwa na mkewe. Kwa kifupi huyu bwana ni shida!
 
Jana nilipita kata yakizota dodoma mjini nikamkuta mtu1 akijinadi yeye ni cdm original anawahadaa vijana kuwa yeye nikiongoz cdm kata lakn hanampango nachama hicho ila anamipango yake yakugombea wenyekt mtaa lakn kwachama kingne alipoondoka nikawadadis vizur vjana wakaniambia kuwa huyo jamaa ni mwenyekt wazee cdm kata nahuwa nitabia yake katka vipind vyauchaguz kuwasalit wenzie sasa safari hii wenzie wamembania sasa anatapatapa nahvyo ametafuta kadi zacdm nyingi ili yeye arudi maccm atoe nakadi zingne kuonyesha kuwa wamerudi wengi ili apewe buku7,tahadhal viongozi wa hapo kizota hamlijui hlo kuwa kingoz mwenzenu anawasaliti? hatua gani mnachukua?.
 
attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

Hivi ndivyo ambavyo Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la MTERA , Lameck John Luboke alivyokianika chama chake cha CHADEMA
 

Attachments

  • t1.jpg
    t1.jpg
    149.4 KB · Views: 1,035
  • t2.jpg
    t2.jpg
    123.4 KB · Views: 1,013
  • t3.jpg
    t3.jpg
    144.6 KB · Views: 1,003
  • t4.jpg
    t4.jpg
    151.8 KB · Views: 983
  • t5.jpg
    t5.jpg
    155.1 KB · Views: 971
mods nadhani watatuwekea vuzuri ili isomeke ipasavyo chadema kunanuka kabisa.
 
Back
Top Bottom