AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Wewe Mtela Mwampamba huna kitu kichwani zaidi ya majungu, ngoja tuandae vocha kwenye simu tukutwange maswali leo mpaka domo likutele.
Last edited by a moderator:
Wana jukwa,
Leo tar.21/01/2013 nitakuwa LIVE kwenye kipindi cha HOT-MIX channel 5(EATV) saa 11:00 jioni nitazungumza na Watanzania (Wanambozi) kuhusu mstakabali wangu wa kisiasa ndani ya CHADEMA.
Pia nitazungumzia kuenguliwa kwangu BAVICHA.
Pia nitawafumbua macho Watanzania kuhusu MASALIA na mwanzilishi wake,pia PM7 na mwanzilishi wake ndani ya CHADEMA.
Na mengine mengi yanayonihusu mimi na CHADEMA.
WENU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA DHURUMA,UNAFIKI,UBAGUZI,UKABILA,UKANDA NA UBAKAJI WA DEMOKRASIA.
Afu eti mwalimu huyo
safi sana kamanda tuko pamoko sana. Aluta continua
i will watch ma tv. wana mbozi wana akili sana hivyo kama mbunge wao wanakuheshimu sana kwa michango yako, funguka vizuri.
Jamani, hammalizi tu??? Mmmh, huu ukosefu wa hekima, visasi na kutafuta umaarufu kutatumaliza....
i will watch ma tv. wana mbozi wana akili sana hivyo kama mbunge wao wanakuheshimu sana kwa michango yako, funguka vizuri.
Mwalimu wa level gani mbona ana aibisha taaluma ya watu makini,yani ananunuliwa kwa vocha za simu,siamini
communication skills bado inasumbua kidogo,
kama unahisi demokrasia imebakwa kwani ni lazima utimize ndoto zako za kisiasa chadema??mbona vyma stil vipo vingi sana,mmeamua kuiganda ganda chadema kama luba..!!
Wana jukwaa,
Leo tar.21/01/2013 nitakuwa LIVE kwenye kipindi cha HOT-MIX channel 5(EATV) saa 11:00 jioni nitazungumza na Watanzania (Wanambozi) kuhusu mstakabali wangu wa kisiasa ndani ya CHADEMA.
Pia nitazungumzia kuenguliwa kwangu BAVICHA.
Pia nitawafumbua macho Watanzania kuhusu MASALIA na mwanzilishi wake,pia PM7 na mwanzilishi wake ndani ya CHADEMA.
Na mengine mengi yanayonihusu mimi na CHADEMA.
WENU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA DHURUMA,UNAFIKI,UBAGUZI,UKABILA,UKANDA NA UBAKAJI WA DEMOKRASIA.