Imekuchukuwa week ngapi kusema hicho unachokiita 'ukweli? Hata hivyo ningetaka kupata majibu ya maswali yafuatayo:
1. CHADEMA kina wanachama toka mikoa mingapi, na wanachama ni wa dini moja au zaidi ya moja, na pia wanatoka kabila moja au zaidi? Kama kuna wanachama zaidi ya kabila moja yataje makabila walau 7!
2. Wewe ni mjumbe wa PM7?
3. Ulijiunga lini na PM7, kwa sababu zipi? (regardless kongozi ni nani, wewe binafsi ulijiunga kwa sababu zipi?
4. Kwa maoni yako PM7 inajenga au kubomoa CHADEMA?
5. Nini nafasi yako PM7?
nawahakikishia chadema hayo mawazo yenu ya kwamba watu flani tu ndo wenye fikra na wengine hawana akili kiasi cha kutowasikiliza na kuwahamasisha watu wengine wasiwasikilize ndicho kitakachowatafunaHata mpite kwa channel zote za habari, but masalia mmeipaka CDM matope na watakaowasikiliza ni wale waliowatuma!!
Uombe samahani, kuichafua CDM ni kujimaliza mwenyewe.
Nenda chama cha wanafiki wakubwa NCCR Mageuzi mimi mwenyewe wa Mbozi-Vwawa lakini nimekuchukia kwa matendo yako ndani ya chama
Mkuu jamaa anajaribu kufanya kazi walioishindwa usalama wa taifa, polisi sasa ndo ije kuwa yeye mkulima wa viazi ndo ataiweza.?!
Poor him.
Mkuu Umkondo wa Swize, huyu Mwampamba anatutia hasira makusudi kwa vile analindwa na maccm! "Atakuja aje"
Wewe Mtela Mwampamba huna kitu kichwani zaidi ya majungu, ngoja tuandae vocha kwenye simu tukutwange maswali leo mpaka domo likutele.
safi sana,speak out !
hii ndiyo CHADEMA lazima tuonyeshe demokrasia ya ukweli inavyotakiwa siyo kutishiana nyau ati mtatuvua uanachama....lazima patachimbika tuu.
Kama CCM imeshindwakujivua GAMBA jeCHADEMA nayo imeshindwa kujivua UKABILA,UKANDA na UDINI?
safi sana,speak out !
hii ndiyo CHADEMA lazima tuonyeshe demokrasia ya ukweli inavyotakiwa siyo kutishiana nyau ati mtatuvua uanachama....lazima patachimbika tuu.
Kama CCM imeshindwakujivua GAMBA jeCHADEMA nayo imeshindwa kujivua UKABILA,UKANDA na UDINI?
Pia Mkuu, ebu hariri kidogo hiyo 'taarifa maalum' yako.
Wana saikolojia wanauwezo wa kujua tabia za mtu kwa kuangalia handwriting ya mtu, na hata typing!
Wewe ukiwa kama verified user, unayejulikana sana na unayeitwa kiongozi katika jamii, ukiandika taarifa maalum kama hiyo, jaribu kuihariri!
Vinginevyo hizo errors nyingi zinaweza zikakuelezea wewe ni mtu wa aina gani kabla hata hujaongea hiyo saa 11!!
Siyo siri nilikuwa nakusikia tu lakini kwa mwandiko wako huo tu, hasa inapokuwa ni taarifa maalum, tena ukiwa verified user, nimeshakuweka katika level fulani tayari!
Kwanini watu wanamkubali Ben Saanane kwa mfano hapa jukwaani - the guy is smart tangu katika kuandika. Hata watu kama akina Mzee Mwanakijiji, Pasco, Tumaini Makene, n.k, wanaandika vizuri ndiyo maana kiasi fulani wanaonekana wana upeo mkubwa!
So please, hariri kazi yako na next time uwe makini unapokuja kama verified user, HASA UNAPOJIITA LEADER!
Haya angalia hapo 'wana-jukwa' paweke sawa.
Twende tena hapo kwenye neno 'mstakabali' sahihisha.
Majina ya mahali, watu n.k unatakiwa kuanza kwa herufi kubwa mfano Mbozi, Tanzania, Chadema au CHADEMA kama ulivyoandika BAVICHA
Right? Ok. MASALI ni nini? Sahihisha
What is dhuruma?
Shughulikia kwanza hayo ...na mengine.
Acha sisi tusiojulikana tuandike ovyo, siyo wewe unayejitambulisha kama kiongozi makini!
Thanks