Regina,
Ngangamala hasa na hawa Vibaka wa Demokrasia maana Wenje angelala, ingekula kwake.
Nategemea Lisu atakuwa huko kwako maana nimepata habari kuwa Marando atatua Kigoma muda wowote.
Wanasheria wa Chadema na wengine watakaotaka kusaidia Demokrasia, kazi kwenu.
NGO zinazotetea wanawake, msimtupe mwenzenu jamani. Pia NGO za kila aina, msaada wenu wahitajika.
Atetewe au asaidiwe? kama mwanamke au kama mgombea. Kama issue ni uanamke hata viti maalum vipo!