Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Kuna uwiano mkubwa kati ya avatar yako na mawazo yako
jibu hoja! Jina lako linafanana na unachokiandika pia!
Kuna uwiano mkubwa kati ya avatar yako na mawazo yako
Mtei wewe umeona tume tu na maserikalini huko huoni.Umeanza mwenyewe unashindwa kumaliza wajibu sasa hao annur.Au wewe kwako udini ni tume tu fisi maji.Sipendi majitu yenye dhana ya kidini kama hichi kizee
Gazeti la kiislam la AN-NUUR katika hali ya kushangaza limeibuika na kuunga mkono kauli ya mwanasiasa mdini Edwin mtei na kuwataka eti watanzania kumpongeza mzee huyo,hii nchi kama siielewielewi vile..
si tuliufuta ukabila, ukanda, u mikoa n.k?!Sielewi kwanini ni uwiano wa dini tu ndio muhimu na ndio watu wanautaka au kuuhoji zaidi?
jibu hoja! Jina lako linafanana na unachokiandika pia!
shule?? Kumbe kila dini inajenga shule zake?? Na hizo zenu mlizojenga kama ndio walizosoma kina Lusinde Duh??
Hao ni wanafiki. LAKINI ukweli ni kwamba mtei yupo sawa! Uislam umetawala tume!
Sielewi kwanini ni uwiano wa dini tu ndio muhimu na ndio watu wanautaka au kuuhoji zaidi?
wanamtukana mtei ndugu! labda haujaelew
wanasema alichosema ni sahihi na ndio wanachokisema kila siku
kuwa
kuwa na uwiano sawa wa dini hizi mbili kwa wafanyakazi serikalini kama vile
hazina
jeshini
madaktari
BOT
polisi
List goes on.......
Kichwa cha habari hicho ni kejeli...soma ndani uelewe
Mtei anatuletea matatizo
wanamtukana mtei ndugu! labda haujaelew
wanasema alichosema ni sahihi na ndio wanachokisema kila siku
kuwa
kuwa na uwiano sawa wa dini hizi mbili kwa wafanyakazi serikalini kama vile
hazina
jeshini
madaktari
BOT
polisi
List goes on.......
Kichwa cha habari hicho ni kejeli...soma ndani uelewe
Mtei anatuletea matatizo