RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
Hili gazeti limesema kweli tupu; Hongera mzee Mtei; inahitajika usawa katika sekta zote za uma na sio kwenye Tume tu. HONGERA MZEE MTEI
Gazeti la kiislam la AN-NUUR katika hali ya kushangaza limeibuika na kuunga mkono kauli ya mwanasiasa mdini Edwin mtei na kuwataka eti watanzania kumpongeza mzee huyo,hii nchi kama siielewielewi vile..
Mkuki kwa nguruwe kwa binaadam mchungu!
Waislaam wameishi katika 83 /17 kwa muda mrefu sana, wanajuwa utamu wa mkuki.
Natamani Mtei apate copy ya hili gazeti aipitie............
Hili gazeti limesema kweli tupu; Hongera mzee Mtei; inahitajika usawa katika sekta zote za uma na sio kwenye Tume tu. HONGERA MZEE MTEI