KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Mtei kasema ukweli kabisa. JK ameunda tume ya Kadhi na OIC, etc
gazeti la kiislam la an-nuur katika hali ya kushangaza limeibuika na kuunga mkono kauli ya mwanasiasa mdini edwin mtei na kuwataka eti watanzania kumpongeza mzee huyo,hii nchi kama siielewielewi vile..
Gazeti la kiislam la AN-NUUR katika hali ya kushangaza limeibuika na kuunga mkono kauli ya mwanasiasa mdini Edwin mtei na kuwataka eti watanzania kumpongeza mzee huyo,hii nchi kama siielewielewi vile..
Mnalipa promo hilo lijarida uchwara
Al Nuur lumeenda shule? Basi hata Uwazi nalo limeenda shule.sio kulipa promo kaka!! bali lile gazeti limeenda shule hebu pata muda usome makala zake kama zile za kina omari msangi na wengineo utaelimika.vile vile kama soma magazeti mengine ya al-huda na kisiwa.
sio kulipa promo kaka!! bali lile gazeti limeenda shule hebu pata muda usome makala zake kama zile za kina omari msangi na wengineo utaelimika.vile vile kama soma magazeti mengine ya al-huda na kisiwa.