Tuache udini! Nani kati ya hao mnaowasema ni muislamu na hana sifa ya kuwa kiongozi ktk nafasi yake? Hiyo tume inaongozwa na viongozi waikristo sidhani kama akina Warioba na Jaji mstaafu watakubaliana na hoja yoyote ile yenye chembe chembe za udini. Pili hii tume imeundwa kutokana na majina yaliyoteuliwa na taasisi mbalimbali sasa kama Zanzibar hakuna taasisi au Asasi yyoyote iliyoteuwa majina ya waikristo ni nani wa kulaumiwa?
Tuiombee mungu tume ifanye kazi yake ila kama itapendelea upande wowote basi ndio tuanze kuionyoshea kidole.
Tuiombee mungu tume ifanye kazi yake ila kama itapendelea upande wowote basi ndio tuanze kuionyoshea kidole.