William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Wengi tumejitenga na ukweli unaouzi. Katika kuunda tume ya katiba JK Ameshindwa kuepuka shinikizo la Redio Imani na Gazeti la al-nuur.
Ubaya tumefundishwa kuchukia DINI na si UDINI! MFANO chadema kinaitwa chama cha kikristu kwasababu tu uongozi wake wa juu unawakristo wengi.
Lakini CUF kimejaa waislamu wengi toka miaka ya tisini lakini JK hakukiusisha na udini! Unajua ni kwanini ni mpinga dini na si udini!
Tunataka kuaminishwa kuwa adui mkubwa wa mwislamu ni mkristo na adui mkubwa wa ukristo ni mwislamu. Tunasahau kuwa uislamu na ukristo asili yake ni moja Ibrahimu. Tunataka kuwasahau maadui tunaopambana nao ni walewale Ujinga, Umasiki, Maradhi na Rushwa.
Ubaya tumeitupa ELIMU tukaaminishwa UJINGA tukashindwa kuutambua ukweli. Majizi yanachangia makanisa na misikiti kwenye arambee tunayaona kama marafiki.
Mawazo ya Ar-nuur na Redio Imani ambayo ni msingi wa uteuzi wa tume;-
Tume iundwe na nusu ya wajumbe kutoka bara na nusu kutoka zanzibar(bila kujari ukubwa na idadi ya watu kutoka pande hizo). Na hili tundulisu alilipinga vikali akaonekana Mjinga.
Wajumbe kutoka zanzibar wawe waislamu wote sababu zanzibar ni nchi ya kiislamu na wajumbe kutoka bara wawe nusu wakristo nusu waislamu sababu ndio dini kuu kwa huku bara. Na kutowatambua kabisa wasio na dini.
Kwa mchanganuo huo maslai ya waislamu yataingia kwenye katiba mpya. Kwani 75% ya wajumbe watakuwa waislamu na25% tu ndio wawe wakristo. Ila moja ya dai kuu la waislamu ni nafasi sawa za uongozi, mahakama ya kadhi na kupinga mfumo kristo. Hawana habari juu ya ufisadi mfumo mbovu wa elimu, huduma duni za afya, rushwa na mfumuko wa bei.
Katika kuteua tume JK Kazingatia maoni ya media za kiislam. Je anaamini kama wao au ni kupunguza mashinikizo ya waislamu zidi yake.
Ata katika uteuzi wa majaji, wakuu wa mikoa na wilaya, mawaziri JK ujitaidi kuzingatia hili. Hii ni hatari! Tuzingatie uwezo tu.
Sioni tatizo atakama jk angeteua waislamu wote ila tu wawe na uwezo.
PILLI NATOARAI WATUMBE WA TUME WAANGALIE MASLAI YA TAIFA NA SIO DINI ZAO KWAN UMA HAUTAWEZA KUKAA KIMYA
Ubaya tumefundishwa kuchukia DINI na si UDINI! MFANO chadema kinaitwa chama cha kikristu kwasababu tu uongozi wake wa juu unawakristo wengi.
Lakini CUF kimejaa waislamu wengi toka miaka ya tisini lakini JK hakukiusisha na udini! Unajua ni kwanini ni mpinga dini na si udini!
Tunataka kuaminishwa kuwa adui mkubwa wa mwislamu ni mkristo na adui mkubwa wa ukristo ni mwislamu. Tunasahau kuwa uislamu na ukristo asili yake ni moja Ibrahimu. Tunataka kuwasahau maadui tunaopambana nao ni walewale Ujinga, Umasiki, Maradhi na Rushwa.
Ubaya tumeitupa ELIMU tukaaminishwa UJINGA tukashindwa kuutambua ukweli. Majizi yanachangia makanisa na misikiti kwenye arambee tunayaona kama marafiki.
Mawazo ya Ar-nuur na Redio Imani ambayo ni msingi wa uteuzi wa tume;-
Tume iundwe na nusu ya wajumbe kutoka bara na nusu kutoka zanzibar(bila kujari ukubwa na idadi ya watu kutoka pande hizo). Na hili tundulisu alilipinga vikali akaonekana Mjinga.
Wajumbe kutoka zanzibar wawe waislamu wote sababu zanzibar ni nchi ya kiislamu na wajumbe kutoka bara wawe nusu wakristo nusu waislamu sababu ndio dini kuu kwa huku bara. Na kutowatambua kabisa wasio na dini.
Kwa mchanganuo huo maslai ya waislamu yataingia kwenye katiba mpya. Kwani 75% ya wajumbe watakuwa waislamu na25% tu ndio wawe wakristo. Ila moja ya dai kuu la waislamu ni nafasi sawa za uongozi, mahakama ya kadhi na kupinga mfumo kristo. Hawana habari juu ya ufisadi mfumo mbovu wa elimu, huduma duni za afya, rushwa na mfumuko wa bei.
Katika kuteua tume JK Kazingatia maoni ya media za kiislam. Je anaamini kama wao au ni kupunguza mashinikizo ya waislamu zidi yake.
Ata katika uteuzi wa majaji, wakuu wa mikoa na wilaya, mawaziri JK ujitaidi kuzingatia hili. Hii ni hatari! Tuzingatie uwezo tu.
Sioni tatizo atakama jk angeteua waislamu wote ila tu wawe na uwezo.
PILLI NATOARAI WATUMBE WA TUME WAANGALIE MASLAI YA TAIFA NA SIO DINI ZAO KWAN UMA HAUTAWEZA KUKAA KIMYA