Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Kwa wale waliopata nafasi ya kumsikiliza GODBLESS LEMA hata mara moja watakubalina na mimi kuwa jamaa ni mtu makini mno hasa anapopanda jukwaani kunadi chama na sera zake..Lema ni mtu mwenye mvuto mno hasa kwa vijana machipukizi walioko mikoani ambao hawapati nafasi ya kufuatilia siasa kwa undani; Kwa vijana wa kawaida Lema anaonekana kama JEMBE hasa nadhani ni kutokana na umri na style yake ya kuwa MSIKIVU na INTERRACTIVE PERSON..
HOJA YANGU
Tangu alipokabidhiwa chopa kukinadi chama kule kanda ya ziwa inaonekana watu wamevutwa sana kupenda kumsikiliza potelea mbali kutaka kumwona tuu.. SWALI ni je uongozi una haja ya kumbakiza nje ya bunge ili kuendelea kukijenga chama hasa kule vujijin ambako bado CCM INA MASHIKO KIMTINDO?? akisaidiana na DR SLAA?? au arudi ndani na yeye aongeze nguvu bungeni??
Nnachojua mimi wabunge wengi wa MAGAMBA kwa siasa zao huwa hawarudi majimboni mpaka muda wa uchaguzi ukifika.. sasa je kama hili jembe litatumia muda mwingi kupita pita huku na kule kukinadi chama vijijin hatuoni kuwa itakua na tija zaidi kwa chama kama ilivyokua kwa DOCTA kukaa nje ya bunge??
ni mtazamo wangu tu..
NAOMBA KUWASILISHA...
HOJA YANGU
Tangu alipokabidhiwa chopa kukinadi chama kule kanda ya ziwa inaonekana watu wamevutwa sana kupenda kumsikiliza potelea mbali kutaka kumwona tuu.. SWALI ni je uongozi una haja ya kumbakiza nje ya bunge ili kuendelea kukijenga chama hasa kule vujijin ambako bado CCM INA MASHIKO KIMTINDO?? akisaidiana na DR SLAA?? au arudi ndani na yeye aongeze nguvu bungeni??
Nnachojua mimi wabunge wengi wa MAGAMBA kwa siasa zao huwa hawarudi majimboni mpaka muda wa uchaguzi ukifika.. sasa je kama hili jembe litatumia muda mwingi kupita pita huku na kule kukinadi chama vijijin hatuoni kuwa itakua na tija zaidi kwa chama kama ilivyokua kwa DOCTA kukaa nje ya bunge??
ni mtazamo wangu tu..
NAOMBA KUWASILISHA...