WanaJF na wapenzi wa CHADEMA,
Hii issue ya malipo kwa Dowans ni issue ambayo tumeipigia kelele sana humu JF,
Leo ametokea mtu, Chama na kinataka kutuonesha njia...wengine tumeanza kuwahukumu na kuwabeza na kuwaita majina..hivi tuko serious?
Au leo uchungu wetu juu ya malipo ya Dowans umekwisha?
Yaani threads zote tulizoanzisha kuhusu Dowans ni bure tu? Kwa vile CUF ndio wanaanzisha move hii?
Mimi nilitegemea hii ni issue ya wananchi wote na tungekuwa tayari kuyaunga mkono maandamano ya kupinga malipo kwa Dowans au tulitegemea chama fulani tu ndio kiitishe maandamano hayo?
Ushabiki wa chama mwanzo kuliko jambo la kitaifa linalowahusu wote?
Tuanche huu ushabiki..tuwaambie viongozi wa vyama tunavyovishabikia kuwa waunge mkono maandamano haya na wajitokeze kuandamana pamoja na CUF na sisi wenyewe pia.
Kuna mtoa mada mmoja alituchallenge kuwa sisi hapa JF kazi yetu domo tu,hatutaki kuchukua hatua ,sasa ametokea mtu,chama cha kukuza kilio chetu,kelele zetu, tusirudi nyuma tuwaunge mkono na tujitokeze kuandamana.
Tuwapelekee ujumbe vyama vyetu viwasiliane na CUF ili kufanikisha maandamano haya..huenda ukawa mwanzo wa vyama kushirikiana katika issues za kitaifa... na pengine watawala watanza kutia akili.
Haya Shime wanaJF.
Hii issue ya malipo kwa Dowans ni issue ambayo tumeipigia kelele sana humu JF,
Leo ametokea mtu, Chama na kinataka kutuonesha njia...wengine tumeanza kuwahukumu na kuwabeza na kuwaita majina..hivi tuko serious?
Au leo uchungu wetu juu ya malipo ya Dowans umekwisha?
Yaani threads zote tulizoanzisha kuhusu Dowans ni bure tu? Kwa vile CUF ndio wanaanzisha move hii?
Mimi nilitegemea hii ni issue ya wananchi wote na tungekuwa tayari kuyaunga mkono maandamano ya kupinga malipo kwa Dowans au tulitegemea chama fulani tu ndio kiitishe maandamano hayo?
Ushabiki wa chama mwanzo kuliko jambo la kitaifa linalowahusu wote?
Tuanche huu ushabiki..tuwaambie viongozi wa vyama tunavyovishabikia kuwa waunge mkono maandamano haya na wajitokeze kuandamana pamoja na CUF na sisi wenyewe pia.
Kuna mtoa mada mmoja alituchallenge kuwa sisi hapa JF kazi yetu domo tu,hatutaki kuchukua hatua ,sasa ametokea mtu,chama cha kukuza kilio chetu,kelele zetu, tusirudi nyuma tuwaunge mkono na tujitokeze kuandamana.
Tuwapelekee ujumbe vyama vyetu viwasiliane na CUF ili kufanikisha maandamano haya..huenda ukawa mwanzo wa vyama kushirikiana katika issues za kitaifa... na pengine watawala watanza kutia akili.
Haya Shime wanaJF.