Mtatiro anatumiwa tu na CUF kuimarisha chama lakini kazi yake ikiisha atatimuliwa kama walivyotimuliwa akina James Mapalala, Rwakatarwe, Tambwe Hiza na wengineo. CUF walikuwa wanaitaka serekali ya SMZ na wameshaipata, na kazi yao imeshaisha. Nataka nimwone Maalimu Seif kwenye maandamano. Kama hayupo, then ni porojo tu. in fact CUF sio chama cha upinzani kwa sasa.
Hili la Dowans inabidi lituungnishe watanzania wote wazalendo bila kujali itikadi ili seikali ipate somo. Hivi hawa hawoni kuwa kuilipa kampuni hewa ni kuhujumu uchumi?