Mtatiro atangaza maandamano ya CUF kupinga DOWANS

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Jukius Mtatiro, Naibu Katibu Mkuu wa CUF ametangaza maandamano hapa Dar ya kupinga kulipwa Dowans.

Kasema yataongozwa na Profesa, kuanzia Buguruni hadi Kidongo Chekundu ambako yatahutubiwa na viongozi wa kitaifa wa chama hicho.

yatafanyika tarehe 7 Februari na ameonya polisi kutoyazuia kwa hoja za kiintelijensia.

Chanzo ITV saa 2 usiku huu.
 
Jukius Mtatiro, Naibu Katibu Mkuu wa CUF ametangaza maandamano hapa Dar ya kupinga kulipwa Dowans.

Kasema yataongozwa na Profesa, kuanzia Buguruni hadi Kidongo Chekundu ambako yatahutubiwa na viongozi wa kitaifa wa chama hicho.

yatafanyika tarehe 7 Februari na ameonya polisi kutoyazuia kwa hoja za kiintelijensia.

Chanzo ITV saa 2 usiku huu.


Mhhh! Kwa polisi na watawala pagumu hapo -- hasa ikizingatiwa yanayotokea huko Tunisia na Misri. Yasije hayo maandamano ndiyo yakawa........
 
Mie siamini iwapo viongozi wakuu wa kitaifa -- na hasa Jussa na Maalim Seif watakuwapo kuhutubia.

Jussa ni dam dam na Rostam -- kamwe hawezi kuwapo pale, achilia mbali kutoa hotuba ya kupinga Dowans kulipwa.

Na kwa Maalim Seif haitamkalia vizuri kupinga kile ambacho serikali ya CCM, ambayo yeye ni mshirika mkuu kwa upande wa Visiwani, imedhamiria kufanya, yaani kuilipa Dowans.

Lakini mimi nampenda sana Mtatiro, bila shaka anafanya hivyo kimakusudi tu kuwakomoa wawili hao. Namfananisha Mtatiro na Zitto katika Chadema, ingawa huyu Mtatiro anafanya mambo ambayo yana masilahi zaidi ya kitaifa kuliko huyo kijana mwenzake anayeonekana kutekwa na mafisadi.

Anyway, huu ni muono wangu to which I'm entitled.
 
Mie siamini iwapo viongozi wakuu wa kitaifa -- na hasa Jussa na Maalim Seif watakuwapo kuhutubia.

Jussa ni dam dam na Rostam -- kamwe hawezi kuwapo pale, achilia mbali kutoa hotuba ya kupinga Dowans kulipwa.

Na kwa Maalim Seif haitamkalia vizuri kupinga kile ambacho serikali ya CCM, ambayo yeye ni mshirika mkuu kwa upande wa Visiwani, imedhamiria kufanya, yaani kuilipa Dowans.

Lakini mimi nampenda sana Mtatiro, bila shaka anafanya hivyo kimakusudi tu kuwakomoa wawili hao. Namfananisha Mtatiro na Zitto katika Chadema, ingawa huyu Mtatiro anafanya mambo ambayo yana masilahi zaidi ya kitaifa kuliko huyo kijana mwenzake anayeonekana kutekwa na mafisadi.

Anyway, huu ni muono wangu to which I'm entitled.

Nadhani waweza kuwa sahihi; inaweza kuwa vigumu sana kwa CUF kupinga kinachofanywa na CCM kwasababu kwanjia moja au nyingine wao kwasasa ni sehemu ya CCM; ila mbona kuna wanapinga ambao wapo ndani ya CCM kabika kama wakina Mzee Sitta na wengine!!! Tusibiri tuone matokeo tuchangie lakini tusihukumu .
 
Mie siamini iwapo viongozi wakuu wa kitaifa -- na hasa Jussa na Maalim Seif watakuwapo kuhutubia.

Jussa ni dam dam na Rostam -- kamwe hawezi kuwapo pale, achilia mbali kutoa hotuba ya kupinga Dowans kulipwa.

Na kwa Maalim Seif haitamkalia vizuri kupinga kile ambacho serikali ya CCM, ambayo yeye ni mshirika mkuu kwa upande wa Visiwani, imedhamiria kufanya, yaani kuilipa Dowans.

Lakini mimi nampenda sana Mtatiro, bila shaka anafanya hivyo kimakusudi tu kuwakomoa wawili hao. Namfananisha Mtatiro na Zitto katika Chadema, ingawa huyu Mtatiro anafanya mambo ambayo yana masilahi zaidi ya kitaifa kuliko huyo kijana mwenzake anayeonekana kutekwa na mafisadi.

Anyway, huu ni muono wangu to which I'm entitled.

Mkuu unge decleare confict of intrest zako na jussa, hata iwe vipi kwa nafasi ya Jussa hawezi kuhutubia yeye anaongoza kurugenzi ya mambo ya nje au labda aongelee yatakayotokea Misri.

Hivi kwanini mtu akiwa kiongozi akiongea na mtuhumiwa anakuwa na yeye mtuhumiwa? tuacheni hizo itikadi na tufahamu nini maana ya demokrasia.
 
Dowans ni tatizo la wa Tanzania wote pesa wanayotaka kulipwa ni kodi zetu wote kila mtu hana haki anatakiwa kupambana, kama CUF wameandaa maandamano ni haki yao kufanya hivyo.
 
:laugh:Intelejensia Mwema ameshaitwa huko magogoni kwenda kupokea Intelejensia ya Ufisadi. Wakijaribu tu, Kikwete by by Magogoni maana hatutoacha kuandamana mpaka Fisadi Kikwete aondoke magogoni:roll:
 
Jukius Mtatiro, Naibu Katibu Mkuu wa CUF ametangaza maandamano hapa Dar ya kupinga kulipwa Dowans.

Kasema yataongozwa na Profesa, kuanzia Buguruni hadi Kidongo Chekundu ambako yatahutubiwa na viongozi wa kitaifa wa chama hicho.

yatafanyika tarehe 7 Februari na ameonya polisi kutoyazuia kwa hoja za kiintelijensia.

Chanzo ITV saa 2 usiku huu.

CCM nao wameanza maandamano?
 
CUF kama bado wangekuwa kama Zamani wangeunganisha nguvu na Vyama vingine, lakini nadhani kuna umuhimu kama CUF wakifanya Dar basi siku hiyhiyo Chadema wafanye Mwanza ama Mbeya ama KIlimanjaro, au kote ili Serikali ijue nguvu ya wananchi ikoje
 
Poa, wananchi unga maandamano. Pesa zitakazotumika bahati mbaya siyo michango wa wana ccm ni kodi ya wananchi wote, walo na chama na wasio na chama cha siasa, walemavu na hata walowazima nk.
Hivyo tupinge kwa nguvu zetu zote haya malipo na hata ikibidi kujitoa ktk hati hizo za kimataifa za uanzishwaji wa mahakama ya ICC ili mali zetu nje ya nchi zisijekamatwa kwa kisingizio cha kutowalipoa dowans
 
Dowans ni tatizo la wa Tanzania wote pesa wanayotaka kulipwa ni kodi zetu wote kila mtu hana haki anatakiwa kupambana, kama CUF wameandaa maandamano ni haki yao kufanya hivyo.
 
tutangulize masirai ya Taifa kama kuna chama tasisi watu nk ambaowakotayari kuteteya masirai yataifa tuwaungemkono tusitangulize kejeli hatutafika kulinda kuteteya nihaki yetusote tuondowe dhanapotofu kuwanihaki ya chama kikundi kimoja kidorekimja hakivunji chawa
 
Dowans ni tatizo la wa Tanzania wote pesa wanayotaka kulipwa ni kodi zetu wote kila mtu hana haki anatakiwa kupambana, kama CUF wameandaa maandamano ni haki yao kufanya hivyo.
 
Re: Mtatiro atangaza maandamano ya CUF kupinga Dowans

CUF kama bado wangekuwa kama Zamani wangeunganisha nguvu na Vyama vingine, lakini nadhani kuna umuhimu kama CUF wakifanya Dar basi siku hiyhiyo Chadema wafanye Mwanza ama Mbeya ama KIlimanjaro, au kote ili Serikali ijue nguvu ya wananchi ikoje​


Du nimegundua watu wanatafsiri ni mandamano ya CUF kwa hiyo kama uko CDM au ni wa CCM hutaki kuandamana na kudai Serikali isiwalipe DOWANS kwa nini tupo hivyo?
Mara Mtatiro na Zitto Watanzania wote tuwe kitu kimoja km Misri km Dar tukasikilize wako watakaowataja wamiliki na nini tufanye. Nimemkumbuka MTIKILA
 
Go chama la upinzani la kweli go go go please. tupo nyuma yenu na hiyo tarehe 7 feb tutajitokeza kwa wingi. si hivi vichama vinavyotegemea wavaa majoho havina tija wala nia njema na nchi hii. Go CUF Go Haruna Go Seif Go Ismail Go Julius Go watanzania wapenda amani na wenye uchungu na nchi hii.we will be ahead.
 
Back
Top Bottom