Mtanzania apata ajali Michigan, Mahututi..

Status
Not open for further replies.
Hii hapa chini ni condolence na mgonjwa update?

Posted by Black Jesus: "... lakini wakati huo huo tujiulize jee na sisi watanzania hivi tunataka tuwe na maisha kama ya kimarekani ??inapokuja malezi na utamaduni? kwani ukiangalia hapakwetu TANZANIA sasa Tumesha poteza Muelekea wamila na desturi"

Mgonjwa yuko mahututi mnaanza kum lambast kwa kuiga Umarekani kumbe hana hata makosa yoyote. Tunajaribu kurekebisha rekodi za kupotosha zinazotundikwa humu wewe hata huelewi. Jaribu kufuatilia kinachosemwa!!!
Tunashukuru sana mzee kifimbocheza....nimefuatilia na suala hilo lilishagusiwa na Pundit pia kuwa anayo ya kujieleza huyo aliyesema maneno hayo.....
Ok.....Attention back to mgonjwa sasa....Whats the update hadi sasa; Anything new???
 
mungu akupe nguvu na kuinuka hapo ulipo kwa jina la yesu anazareti

amka nzaro amka rigght navunja roho mchafu wa mauti anaetaka kukuondoa

mungu tunakuomba shusha rehema zako kwa kakayetu mwamshe hapo alipo

akuna linaloshindikana kwako bwana yesu ,,muokoe ndeugu yetu wakati huu akipumulia mashine ... bwana tunaomba na kukushukuru na wote tusomao na kumwmaini mungu

tuseme

Amen
 
nilitaraji kuona watu wakiwa na utuwa kibinadamu kwanza loh!!!!!
omba lisifike kwako!!!mungu endelea kumpa nguvu ndugu yetu hakuna linaloshindakana kwako
 
Tunaomba Mungu amsaidie huyu ndugu m-Tanzania mwenzetu, ingawa wengine hatumfahamu lakini ninaamini Mkulu Mwanakijiji na Mkulu Ab-Titchaz, utatuletea info za hii ajali zaidi na mauguzo,

Na pia ni vyema mkatufahamisha iwapo kuna msaada wowote unahitajika hasa wa pesa, ili tujipige pige huu sio wakati wa maneno mengi, huu ni wakati wa kusaidiana kwa hali na mali. I mean kuna watu kweli wanapenda maneno hata kwenye ajali za watu nako ni maneno mengi tu, damn it!

Mungu amsaidie ndugu yetu huyu m-Tanzania apone haraka.
 
Kwa kweli mwanaadamu hujafa hujaumbika. Unaishi mahali hutaki shari na mtu. Unafuata sheria zoote hata za barabarani lakini anatokea kenge mmoja anakuvurugia utaratibu wako woote wa maisha.
Ewe mola tunakuomba umpe nafuu ya haraka mwanakwetu...Aaaaamin!!

Ni kweli kabisa uliyoyasema, halafu kinachosikitisha zaidi ni kwamba pamoja na kuwa Ndalima alikuwa hana makosa yoyote polisi wanaweza wasitoe hata dollar 1 kusaidia katika matibabu yake au kuwasaidia familia yake wakati huu mgumu kwao. Tuendelee na sala za kumuombea mwenzetu.
 
Tunaomba Mungu amsaidie huyu ndugu m-Tanzania mwenzetu, ingawa wengine hatumfahamu lakini ninaamini Mkulu Mwanakijiji na Mkulu Ab-Titchaz, utatuletea info za hii ajali zaidi na mauguzo,

Na pia ni vyema mkatufahamisha iwapo kuna msaada wowote unahitajika hasa wa pesa, ili tujipige pige huu sio wakati wa maneno mengi, huu ni wakati wa kusaidiana kwa hali na mali. I mean kuna watu kweli wanapenda maneno hata kwenye ajali za watu nako ni maneno mengi tu, damn it!

Mungu amsaidie ndugu yetu huyu m-Tanzania apone haraka.

Mkuu FMES,

asante kwa mchango wako na we will keep you guys informed about
whats next.

Wala hujakosea usemapo neno la kusaidiana amongst ourselves na that
is what we will be focussing on.Watu wana-mawazo tofauti na kuna wale
watakaoleta mchango wa kusaidia na wengine wataleta za kuleta tu.Hata
hivyo sisi ni wamoja on this times of tragedy.

Regards.
 
Mungu atamsaidia insha'allah...inasikitisha uzembe na utoto wa watu wengine unavyoweza kusababisha madhara kwa wasio na makosa...
 
Tunaomba Mungu amsaidie huyu ndugu m-Tanzania mwenzetu, ingawa wengine hatumfahamu lakini ninaamini Mkulu Mwanakijiji na Mkulu Ab-Titchaz, utatuletea info za hii ajali zaidi na mauguzo,

Na pia ni vyema mkatufahamisha iwapo kuna msaada wowote unahitajika hasa wa pesa, ili tujipige pige huu sio wakati wa maneno mengi, huu ni wakati wa kusaidiana kwa hali na mali. I mean kuna watu kweli wanapenda maneno hata kwenye ajali za watu nako ni maneno mengi tu, damn it!

Mungu amsaidie ndugu yetu huyu m-Tanzania apone haraka.


Exactly FMES. Kilichobaki ni kumsihi Mungu amponye huyu mwenzetu. Tunafahamu ameshapata damage na tunachotakiwa kumwomba Mungu ni asiwe na serious damage say ya Ubongo na Paralysis. Makovu ameshayapata, ni obvious, but awe mzima kiakili na aweze kuendelea na shughuli zake.

Lingine, wale mlioko huko ughaibuni, please huu ni wakati wa kumsaidia kwa hali na mali huduma zote kadri inavyohitajika hata ikiwezekana kupata a great physician akawa naye karibu i.e close medical attention. Mwanakijiji na wale wote mko humu ndani ambao na mnatembelea Hosp alikolazwa endeleeni kutupatia update.

Mungu ni mwema na mponyaji wetu. Hakuna lisilowezekana kwa Mungu. Amen.
 
Ugua pole ndugu Nzaro. Nanyi mlioko huko ongezeni mshikamano hasa wakati wa matatizo kama hili. Ongezeni pia safari za kuja NYUMBANI KUHIJI.
 
Hili ndiyo lilikuwa jibu la swali nililouliza.

[I said:
Mzee Mwanakijiji;303527]sasa imekuwa vipi jazba? Mara nyingi habari zinaweza kuwekwa hapa kwa ajili ya exposure na huamishishwa sehemu nyingine. [/I]

Na hii ilikuwa ni jazba tuu, tuache haya mambo.

kama una tatizo zima PC.... !

Narudia tena sikuwa na nia mbaya na ile post yangu, hii thread ilikuwa kwenye matangazo madogo madogo ghafla ikahamishwa na kuwekwa kwenye siasa, sasa watu kama mimi tuliokuwa tukijua kuwa habari hii iko kwenye matangazo madogo madogo tuliporudi tena kule kufuatilia maendeleo ya ndugu yetu haikuwapo tena, badaye nikaja kukutana nayo kwenye siasa ikanishtua kidogo nikadhani inauhusianio wa kisiasa siasa, ni hayo tu.

Anyways naona sasa imerudishwa tena kwenye matangazo madogo madogo labda haihitaji exposure tena kama jamaa hapo juu alivyodai.

Mungu aendelee kumwongezea ndugu yetu nguvu na afya tele amrudishie.amina
 
Mgonjwa tayari ameshatutoka????? Hebu tupeni updates waheshimiwa........
Huyo JK na serikali yake achaneni naye kwanza...Tumfuatilieni mwenzetu.
 
Tutawapa habari in an hour... tupeni muda kidogo kuna mambo mengi tunayoyafuatilia hasa watu wa nyumbani... lolote litakalokuwa confirmed tutawajulisha lakini kwanza ni watu wa nyumbani....
 

Posted by Mwazange: Mgonjwa tayari ameshatutoka?????


Unanambia mimi Kifimbocheza huku unaposti crippity crap kama hiyo ! Huwezi kusema kitu kama hicho mtu bado yuko Hospitali.
 

Posted by Mwazange: Mgonjwa tayari ameshatutoka?????


Unanambia mimi Kifimbocheza huku unaposti crippity crap kama hiyo ! Huwezi kusema kitu kama hicho mtu bado yuko Hospitali.

Hey why don't you investigate the accident?
 
Mgonjwa tayari ameshatutoka????? Hebu tupeni updates waheshimiwa........
Huyo JK na serikali yake achaneni naye kwanza...Tumfuatilieni mwenzetu.


Mkuu Mwanzage,

Heshima mbele mkuu, tupo ukurasa mmoja hapo.
 
Mwazange Vipi tena mkuu hii haipo sawa..
Mkuu ni nini tena hakiko sawa hapo....?
Nimeshtuka kuona posti moja kabla yangu ikizungumzia kuwa mgonjwa katutoka ndio maana nikaweka ?mark nyingi then nikaomba updates zaidi kwa walio karibu na mgonjwa. MKJJ akafuatia kusema kuwa wanafuatilia na wataconfirm within an hour pindi wakiwasiliana na nyumbani....Nikampa THANKS mkulu MKJJ.

Kuhusu huyu JK na serikali yake ni pale watu wanapoumiza vichwa kuhusu ni "walevi" wa aina gani waliompiga mawe kule Mbeya, ndio nikasema hebu tuachane naye kwanza tujulie hali ya mwenzetu mgonjwa for a minute(kama angepay attention kwa waliompa kura kabla ya kusikiliza wanaompa kula then yasingemtokea yanayomtokea sasa, wala haniumizi kichwa)...Naomba tu uniweke sawa ni nini hakijakaa sawa hapo ili nijitahidi kukiweka sawa muheshimiwa....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom