Hii habari kweli inafaa kuwekwa hapa kwenye jukwaa la siasa?..Au pc yangu inamatazizo coz last time ilikuwa sehemu yake muafaka ya matangazo...
hizi pc zangu sometimes sizielewi naona zinataka kunigombanisha na ma mods..au?..
Mungu akujalie na upone haraka...amina
Hii habari kweli inafaa kuwekwa hapa kwenye jukwaa la siasa?..Au pc yangu inamatazizo coz last time ilikuwa sehemu yake muafaka ya matangazo...
hizi pc zangu sometimes sizielewi naona zinataka kunigombanisha na ma mods..au?..
Mungu akujalie na upone haraka...amina
kama una tatizo zima PC.... !
Hii habari kweli inafaa kuwekwa hapa kwenye jukwaa la siasa?..Au pc yangu inamatazizo coz last time ilikuwa sehemu yake muafaka ya matangazo...
hizi pc zangu sometimes sizielewi naona zinataka kunigombanisha na ma mods..au?..
Mungu akujalie na upone haraka...amina
...
Mgonjwa hali yake ni mbaya, yuko kwenye Coma...
sasa imekuwa vipi jazba? yeye kalaumu PC yake na miye nimeshauri aizime kama ndiyo inamfanya aone tatizo kwa habari hii kuwa huku. Mara nyingi habari zinaweza kuwekwa hapa kwa ajili ya exposure na huamishishwa sehemu nyingine.
Tujifunze kuwa flexible tusiwe too uptight hata kwa vitu visivyo na msingi. Sasa mnataka tuanze kubishana kuhusu mada hii kuwa hapa na kusahau mambo ya msingi.
Mgonjwa hali yake ni mbaya, yuko kwenye Coma...
Simba kaingia ndani ya nyumba, watu badala ya kupanga mkakati kwa kuchukua gobole na kumtwanga risasi, wanaanza kutafuta viatu vinavyo match na suaruali, ulimbwende.
Maisha ya mtu yapo hatarini, kuna maswali muhimu ya kuhusu care yake yameulizwa, and the best we can come up with ni ku nitpick topic?
Maisha ya mtu yapo hatarini, kuna maswali muhimu ya kuhusu care yake yameulizwa, and the best we can come up with ni ku nitpick topic?
Mungu amzidishine uzima ndugu yetu lakini wakati huo huo tujiulize jee na sisi watanzania hivi tunataka tuwe na maisha kama ya kimarekani ??inapokuja malezi na utamaduni? kwani ukiangalia hapakwetu TANZANIA sasa Tumesha poteza Muelekea wamila na desturi
Kwa mtaji huo, ndugu Pundit, naomba mwongozo wako zaidi kidogo hapa. Hii posti hapa chini unaionaje, ni wakati wake sasa hivi ?
Kuhani,
Black Jesus has some explaining to do, it is as if he was posting on another thread and the post mysteriously found its way into this thread.