Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Ulitaka nimuambie nani?Ulitaka nianzishe mada hapa kumjadili huyu "sisimizi" na utapeli wake?Habari ya kuibiwa kwangu na dada huyu tapeli anayo aliyekuwa mkurugenzi wa Jambo chat ambaye pia ndiye kiongozi hapa JF!
Huyu dada ni tapeli na ana tamaa sana na itabaki hivyo na yaliyomkuta ni zao la tamaa zake kuacha kufanya kazi halali kujiingiza kwenye kipato cha haraka!
Lugha hiyo uliyoongea mm naijua vyema na kuwa muungwana tafadhali!
Siku zote Ulikuwa wapi kusema? Hizo laptop zenyewe tukifuatilia nawewe Utakuwa Umeiba tuu huko.