Mtangazaji wa redio kutoka Tanzania amekamatwa na dawa za kulevya Kenya!

Ulitaka nimuambie nani?Ulitaka nianzishe mada hapa kumjadili huyu "sisimizi" na utapeli wake?Habari ya kuibiwa kwangu na dada huyu tapeli anayo aliyekuwa mkurugenzi wa Jambo chat ambaye pia ndiye kiongozi hapa JF!

Huyu dada ni tapeli na ana tamaa sana na itabaki hivyo na yaliyomkuta ni zao la tamaa zake kuacha kufanya kazi halali kujiingiza kwenye kipato cha haraka!

Lugha hiyo uliyoongea mm naijua vyema na kuwa muungwana tafadhali!

Siku zote Ulikuwa wapi kusema? Hizo laptop zenyewe tukifuatilia nawewe Utakuwa Umeiba tuu huko.
 
Sarah Shirima NI TAPELI NAMBA MOJA!Nilikuwa nawasiliana nae kibiashara enzi hizo nipo USA baada ya kukutana nae Jambo chat!Akaniambia Dar laptops na simu blackberry "ZINATOKA SANA"!Hiyo ilikuwa mwaka 2006!

Nikazileta za kutosha tu nikamkabidhi kwa makubalino kuwa nikirudi Dar toka mapumzikoni KYELA nizikute hela TUGAWANE FAIDA;Hadi leo sijamuona tena na ndiyo nasoma habari hii hapa!

Alikuwa"kanjanja" tu wa utangazaji kwa kuuza habari magazetini!Ni binti mrembo wala huwezi amini kama ni tapeli!ANA TAMAA SANA YA MAISHA MAKUBWA BINTI HUYU!

Eti nilikutananae JAMBO CHAT kumbe nyinyi ndo mnakurupukiaga watu tuu?
 
Nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu Gang Chomba ni mtu anayehusika sana na hii biashara ya mihadarati kwa jinsi anavyomtetea huyu binti/mwanamke aliyekamatwa na heroin huko Nairobi!! " Za mwizi arobaini" maana yake ni kwamba mwizi kama mbeba madawa ya kulevya, wote wanafanya vitendo vibaya kwa jamii hivyo 'Za mwizi 40" also applies to these MULES!!

Jibu swali "Za mwizi 40" Huyo dada Kaiba nini?
 
Eti nilikutananae JAMBO CHAT kumbe nyinyi ndo mnakurupukiaga watu tuu?

"Nikikurupukiaga" mtu ndiyo iwe justified ya kutapeli?Putin na ww kama alivyo mwenzako hoja yako ni ya hovyo hovyo iliyoandikwa kihovyo hovyo!

Haijalishi mmekutana vipi kwa mtu fulani kuwa mwaminfu kwako!Uaminifu ni malezi unayopewa na wazazi wako na huyu dada alikosa hayo malezi!Hili dada ni jizi tu na linastahili hapo lilipo sasa!
 
"Nikikurupukiaga" mtu ndiyo iwe justified ya kutapeli?Putin na ww kama alivyo mwenzako hoja yako ni ya hovyo hovyo iliyoandikwa kihovyo hovyo!

Haijalishi mmekutana vipi kwa mtu fulani kuwa mwaminfu kwako!Uaminifu ni malezi unayopewa na wazazi wako na huyu dada alikosa hayo malezi!Hili dada ni jizi tu na linastahili hapo lilipo sasa!


Kwenda weweee tapeli mkubwa.
 
Jibu swali "Za mwizi 40" Huyo dada Kaiba nini?

Huyu ni zaidi ya MWIZI;

Afadhali MWIZI athari zake ni za mtu mmoja yule aliyeibiwa na familia yake inayomzunguka!Muuza madawa ya kulevya kwa kiasi kikubwa kama hiki ndiyo yamesababisha TZ na dunia kwa ujumla IKOSE NGUVU KAZI kwa sababu vijana wengi wameathirika na madawa waliyokula toka kwa dada huyu!

Huyu anastahili adhabu kali mno!Ingekuwa kamatiwa Iran angenyongwa!
 
Ulitaka nimuambie nani?Ulitaka nianzishe mada hapa kumjadili huyu "sisimizi" na utapeli wake?Habari ya kuibiwa kwangu na dada huyu tapeli anayo aliyekuwa mkurugenzi wa Jambo chat ambaye pia ndiye kiongozi hapa JF!

Huyu dada ni tapeli na ana tamaa sana na itabaki hivyo na yaliyomkuta ni zao la tamaa zake kuacha kufanya kazi halali kujiingiza kwenye kipato cha haraka!

Lugha hiyo uliyoongea mm naijua vyema na kuwa muungwana tafadhali!

Wewe Ulivyokurupua Laptop huko Ulaya Hukuwa Unataka Kipato cha haraka?
 
Huyu ni zaidi ya MWIZI;

Afadhali MWIZI athari zake ni za mtu mmoja yule aliyeibiwa na familia yake inayomzunguka!Muuza madawa ya kulevya kwa kiasi kikubwa kama hiki ndiyo yamesababisha TZ na dunia kwa ujumla IKOSE NGUVU KAZI kwa sababu vijana wengi wameathirika na madawa waliyokula toka kwa dada huyu!

Huyu anastahili adhabu kali mno!Ingekuwa kamatiwa Iran angenyongwa!

Acha porojo Jibu swali Kaiba nini?
 
"Nikikurupukiaga" mtu ndiyo iwe justified ya kutapeli?Putin na ww kama alivyo mwenzako hoja yako ni ya hovyo hovyo iliyoandikwa kihovyo hovyo!

Haijalishi mmekutana vipi kwa mtu fulani kuwa mwaminfu kwako!Uaminifu ni malezi unayopewa na wazazi wako na huyu dada alikosa hayo malezi!Hili dada ni jizi tu na linastahili hapo lilipo sasa!

Kweli wajinga hawaishi wataendelea kuja...... We mtu humjui Ukaenda kumkabidhi mzigo then Ukaenda Kyela kusosomola ndizi Ukirudi Ukute hela?.... Yani iyo ni sawa na Kuweka hela brbrn Ukakandamiza na jiwe zisipeperuke na Upepo alafu Kesho yake urudi unaanza kuuliza wapita njia.
 
  • Thanks
Reactions: Edo
Kweli wajinga hawaishi wataendelea kuja...... We mtu humjui Ukaenda kumkabidhi mzigo then Ukaenda Kyela kusosomola ndizi Ukirudi Ukute hela?.... Yani iyo ni sawa na Kuweka hela brbrn Ukakandamiza na jiwe zisipeperuke na Upepo alafu Kesho yake urudi unaanza kuuliza wapita njia.

Maelezo yako MAREFUUU lkn bado HAYAJAELEZA wala HAYAJAFAFANUA kuwa:Kwa vile mtu umekutana nae kwenye social networks NDIYO AKUIBIE?Una-justify uwizi kwa sababu tu watu hao walikutana kwenye chat?
 
Maelezo yako MAREFUUU lkn bado HAYAJAELEZA wala HAYAJAFAFANUA kuwa:Kwa vile mtu umekutana nae kwenye social networks NDIYO AKUIBIE?Una-justify uwizi kwa sababu tu watu hao walikutana kwenye chat?

Wewe Laptop na cm ulitoa wapi km hukuiba? Onyesha risiti ya huo mzigo na Ushuru uliolipia pamoja na Kibali cha kufanyia biashara iyo.....
 
Maelezo yako MAREFUUU lkn bado HAYAJAELEZA wala HAYAJAFAFANUA kuwa:Kwa vile mtu umekutana nae kwenye social networks NDIYO AKUIBIE?Una-justify uwizi kwa sababu tu watu hao walikutana kwenye chat?


Kama alikuibia ulichukua hatua gani?
Au unakuja kulalama tu hapa JF?
 
Wewe Laptop na cm ulitoa wapi km hukuiba? Onyesha risiti ya huo mzigo na Ushuru uliolipia pamoja na Kibali cha kufanyia biashara iyo.....


Hana hivo vitu na ndo maana hajathubutu kwenda kushtaki.
Mkurupukaji mkubwa huyo anakuja hapa gagulo linampwaya utasema ana cha maana kumbe uharo mtupu.
 
Kweli wajinga hawaishi wataendelea kuja...... We mtu humjui Ukaenda kumkabidhi mzigo then Ukaenda Kyela kusosomola ndizi Ukirudi Ukute hela?.... Yani iyo ni sawa na Kuweka hela brbrn Ukakandamiza na jiwe zisipeperuke na Upepo alafu Kesho yake urudi unaanza kuuliza wapita njia.


Hah hah hah hah hah haaaah mkulima huyo hana jipya wacha wamtengeneze
 
Hana hivo vitu na ndo maana hajathubutu kwenda kushtaki.
Mkurupukaji mkubwa huyo anakuja hapa gagulo linampwaya utasema ana cha maana kumbe uharo mtupu.

Gang Chomba:The Great thinker!

Malezi ya mtu yanajionyesha wazi jinsi anavyoandika na kujenga hoja!
 
Back
Top Bottom