Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
mtake radhi,wewe ndo umekosea kaka umeitafsiri methali kama ilivyo!wahenga walimaanisha kila jambo baya lina mwisho wake au kila mtenda maovu kwa kificho kuna siku ataumbuka.Umekurupuka bro.
Wahenga wangekuwa na maana hiyo wangeweka wazi.
Wahenga si watu wa kufichaficha.
Period