Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
sasa wewe kama unafanya utafiti halafu unaelezwa na unakataa, una maana gani? ina maana kuwa unajua ila upo hapa kwa kejeli
Marytina tuheshimiane, mimi sifanyi siasa bali nafanya utafiti. Na huwezi kupingana na historia. Utapata wapi siasa leo usipoanzia jana. Ignorance of history made man to repeat same mistakes.