Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,811
- 15,403
Pole sana ndugu Mtambuzi... Pamoja sana.
Mwali nimeshapoa na namshukuru Mungu, jana kwa kushirikiana na majirani tulimudu kuyaelekeza maji yafuate mkondo tukajisitiri kwa jirani kwani magodoro yote yalilowa kabisa...............