Mswati mfano wa kuigwa (?)

picha kwa hisani ya MICHUZI Blog
 

Attachments

  • DSCN0809.JPG
    DSCN0809.JPG
    59.1 KB · Views: 75
  • DSCN0732.JPG
    DSCN0732.JPG
    64.9 KB · Views: 70
  • DSCN0750.JPG
    DSCN0750.JPG
    54.8 KB · Views: 77
  • DSCN0754.JPG
    DSCN0754.JPG
    94.6 KB · Views: 67
We Nyamayao unaishi ulimwengu gani?
Kuna mtu hapa hapa alitamka anatumia na anajisikia raaaaha kuliko akipata natural alitaja faida kadhaa.


mapenzi sio uchafu lakini watumiaji wa hayo madude mie naona wanafanya uchafu, wacha nibakie na hii dunia yangu!.....kwanini nitumie hayo wakati uhalisia ninao ndani?...kila mtu na starehe zake lakini....hebu niambie luv, wanaanzaje anzaje maumizi ya hayo madude? kitu gani kinawahamacsha haswa?
 
Uwii You guys have rotten minds kwa kweli lol

MwanajiiONE,
Hiyo ni kitu ya kawaida sana kwa wenzetu wa Western countries. Hata Banana Zorro kwenye wimbo wa Pressure anakuambia "MAMBO YA KIZUNGU". Wa-asia ndiyo wabovu zaidi hasa ukija kwenye hiyo kitu wanaita kamasutra. Wajapan huwa wana sherehe yao ya wanawake kuomba wapate uwezo wa kuzaa. Na hapo dildo kubwa sana (kama Chinese Dragon) huwa wanalipitisha barabarani na wanawake wenye matatizo hayo hukimbilia na kwenda kugusa......
 
Mungu kwa Uumbaji tu, mwacheni aitwe Mungu.

Sidhani kama huko kuna uwezekano wa malkia kutawala nadhani ni strictly mfalme.

kisha tunaambiwa kuwa huko pia UKIMWI upo juu sana, sasa kama kuna uwezekano wa mabikra elfu 80 kuparade, hzi takwimu wanapika watu wa mangaribi kwa sababu hawampendi mswati ama nini?
 
Nyie mnaozungumzia mila na desturi hivi mnajua mnachoongea ?

Mila na desturi zimegawanyika ktk makundi mawili. Zile zinazoiendeleza jamii , na zile zinazoibomoa jamii.

Hii ya kiongozi kuoa wake wengi na kujilimbikizia utajiri lukuki huku raia wa kawaida wamechoooka, ni UFISADI.

Kikwete nae anamuiga huyu jamaa kununua BMWs huku wadanganyika vijijini wakishindia kikombe cha uji!! Tuache ujinga huu.
 
Back
Top Bottom