Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Na kwa taarifa pia, kati ya hao wote waliojitokeza mwaka huu hakuchaguliwa hata mmoja. May be hakuna aliyekidhi vigezo!
Na kwa taarifa pia, kati ya hao wote waliojitokeza mwaka huu hakuchaguliwa hata mmoja. May be hakuna aliyekidhi vigezo!
atakuwa mke wa 14, hao mabinti wanaolewa wakiwa bikra!......
asee,
kajamaa kana faudu hakoo!.
Na kwa taarifa pia, kati ya hao wote waliojitokeza mwaka huu hakuchaguliwa hata mmoja. May be hakuna aliyekidhi vigezo!
yeye atakuwa anafaidi lakini kwa wake zake atakuwa hawatendei haki,imagine huo mzunguko mpaka mke wa 6-7 aje afikiwe hao wengine wanamalizia wapi haja zao za kimwili kama binadamu alie kamili?
Ningependa kujua takwimu za UKIMWI huko kwa mfalme kwa sababu kwa utamaduni huu ni wazi kuwa wasichana wengi wanajitunza ili wapate chance ya kuperforme mbele ya Mfalme na kujaribu bahati zao lol . Poor wavulana wao hawana motisha
Hehehehee kwani wewe hujui kuwa kuna zana kama vibrator, dildo, vidole, n.k.? Au wewe hutumii zana?
Mkuu NN,
Una maana zile vakesheni za balozi fulani wa naniii huwa zinaishia huko nini? Duuu, jamaa atakuwa anafanya biashara safi sana kuzinunua kutoka Ulaya/USA/Asia na kuzipeleka kwa wake wa Mfalme. Sasa lile alipiga nalo picha sijui nani alipewa? Inabidi Game Theory atuambia maana amekuwa anafuatilia kwa karibu sana lile Dildo la balozi.
Masahihisho kidogo wakuu:
HII NGOMA HUCHEZWA KILA BAADA YA MIAKA MIWILI na siyo kila mwaka.
Kwakwakwaaaa....yeah babu, Game Theory amekuwa akilifuatilia kwa ukaribu sio kifani kuhusu hilo lidude aisee. Jamaa naye sijui nini kilimtuma kulishika na kupiga picha nalo huku akitoa tabasamu la karne. Halafu lilikuwa zinga la mdude aisee...heheheheheheee...duuuh
Hehehehee kwani wewe hujui kuwa kuna zana kama vibrator, dildo, vidole, n.k.? Au wewe hutumii zana?
nope...napendelea uhalisia, na hayo madude cdhani kama yanawaridhisha hata kidogo, wana act tu.
nope...napendelea uhalisia, na hayo madude cdhani kama yanawaridhisha hata kidogo, wana act tu.
Na wengine hapo matiti yameanguka kama mama ambaye alitumia muda wake sawa sasa kunyonyesha. Je huyo naye ni natura virgin au ni ile artificial?? Nisaidieni wajameni.
See, wewe ndio mwanamke haswa! I like you now. Ila sitakuwa kama Yo Yo na kuanza kukubugudhi na PM kila dakika Lol....
hivi Nyani Ngabu hayo madude yataridhisha mtu kwa namna gani, mapenzi yanaanzia mbali...rom na michezo ya hapa na pale, sasa huyo anae2mia hayo madude ana enjoy kivipi?...mie nimeshaku pm...lol
hivi Nyani Ngabu hayo madude yataridhisha mtu kwa namna gani, mapenzi yanaanzia mbali...rom na michezo ya hapa na pale, sasa huyo anae2mia hayo madude ana enjoy kivipi?...mie nimeshaku pm...lol
We Nyamayao unaishi ulimwengu gani?
Kuna mtu hapa hapa alitamka anatumia na anajisikia raaaaha kuliko akipata natural alitaja faida kadhaa.
hivi Nyani Ngabu hayo madude yataridhisha mtu kwa namna gani, mapenzi yanaanzia mbali...rom na michezo ya hapa na pale, sasa huyo anae2mia hayo madude ana enjoy kivipi?...