Mswada wa sheria ya kuunda Baraza la Usalama wa Taifa wakataliwa!

Mwisho naomba kuwauliza wanasheria: Hivi hakuna constitutional implications za kukataliwa kwa muswada bungeni? Hii si dalili ya kukosa imani na Rais?

Kaka hili liko kwenye hotuba ya bajeti ya serikali tu... sio kwenye miswada au kwenye hata budget za wizara moja moja!

Alafu mswada huu bado uko kwenye mikono ya bunge... umerudishwa kwenye kamati ya bunge ambayo ni bunge...

Ila mimi sio mwanasheria mkulima tu mtukutu ndio maana najua kupiga kiibodi...
 
Kaka hili liko kwenye hotuba ya bajeti ya serikali tu... sio kwenye miswada au kwenye hata budget za wizara moja moja!

Alafu mswada huu bado uko kwenye mikono ya bunge... umerudishwa kwenye kamati ya bunge ambayo ni bunge...

Ila mimi sio mwanasheria mkulima tu mtukutu ndio maana najua kupiga kiibodi...
========
Ahsante sana Kasheshe

Hata hivyo sehemu ya pili ya swali langu inabaki na harufu ya ukweli kuwa, imani ya bunge kwa serikali inasuasua. Kuepusha hili, JK anatakiwa kuchukua hatua za haraka kuwaweka pembeni baadhi mawaziri na watendaji. Kutofanya hivyo anakuwa sehemu ya uzembe huu.
 
Tumeingia aibu sana kama taifa... Lakini hatuna haja ya kumnyooshea mtu yeyote kidole ndivyo tulivyo period!!!

Sheria zote zikosewe lakini sio hii! Sasa naelewa kwa nini atcl, trl, richmond etc... We are b....
 
Parliament rejects National Security Council Bill 2009

The National Assembly has just rejected the National Security Council Bill, 2009.

Member of the parliament said that the bill is flawed and it may dilute powers of the president as the Commander-In-Chief.

"President has the powers of the executive as the Commander-In-Chief, and those powers cannot be delegated. You cannot give powers to the people to vote on the issue that the Commander-In-Chief is supposed to order them," contributed Mr Slaa.

The bill which attracted contributions by veteran MPs, like Mr John Malecela, and those from MPs who rarely make contributions, like Rtd Brg. Gen. Hassan Ngwilizi, saw both the opposition and ruling sides of the house taking one side.

"On this issue I concur with Slaa, there are presidential powers which cannot be delegated," said former Prime Minister Malecela. Dr Willbroad Slaa (Karatu-Chadema) had earlier contributed the same.

The heated debate on the bill, begun to look bad to the Minister of State (Good Governance), Ms Sophia Simba, when MP begun contributing to the bill, after she tabled it.

"I am not convinced with this bill because it defies all the logic of having a defence and security council," the first MP contributing to bill, Rtd Brg. Gen. Ngwilizi.

The veteran politician opened up a door to a heated debate, whereby five MP contributed on the bill, all not supporting it, with exception of one MP.

Mr Slaa almost put the last nail on the coffin, when he moved a motion before the parliament, using article 69 of the parliament regulations, asking the national Assembly to postpone the bill.

"The bill is not ready as it implies violation of the constitution of the united republic on a very sensitive issue of security," said Dr Slaa.

However, the Deputy Speaker, Ms Anna Makinda, did not react on the motion, allowing the next contributor, Mr Malecela to continue with his contribution.

Mr Malecela is the one who finally put the last nail, leading to the Deputy Speaker calling upon the Minister to respond on the contributions.

"May I return the bill to the committee, I am asking to be given other time for this bill to be tabled in this parliamentary season. Honorable Deputy Speaker may I make a motion," said Ms Simba.

The Deputy Speaker asked the National Assembly whether they support the motion, to which the parliament unanimously voted in support of it.

However, the MP who supported the bill, Ponsoani Nyami (Nkasi-CCM), had already left the building before the house rejected the bill.

After postponement of the session, other cabinet members gathered around consoling Ms Simba, while some hugged her. It is rare for a bill to be rejected in the Tanzanian parliament.

Source: http://www.dailynews.co.tz/home/?n=7091&cat=home
 
Mwisho naomba kuwauliza wanasheria: Hivi hakuna constitutional implications za kukataliwa kwa muswada bungeni? Hii si dalili ya kukosa imani na Rais?

Muswada kutokupita Bungeni sio tatizo ambalo linaweza kuleta Constitutional implication yoyote na wala si kukosa imani na Rais! Hali inayoleta kukosa imani na Rais ambaye anaweza hata kulivunja Bunge ni pale ambapo Muswada uliofikishwa kwake amekataa kuusaini ili uwe Sheria na kuurudisha tena Bungeni! Katika Ibara ya 97 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 15 ya mwaka 1984 tunasoma kwamba "Iwapo Muswada umerudishwa kwa Bunge na Rais, halafu ukaungwa mkono kwenye Bunge na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote kama ilivyoelezwa katika ibara ndogo ya (3) na kupelekwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kwa mara ya pili kabla haujamalizika muda wa miezi sita tangu uliporudishwa, basi Rais atatakiwa kuukubali Muswada huo kabla ya kumalizika muda wa siku ishirini na moja tangu Muswada huo ulipowasilishwa kwake la sivyo basi itabidi alivunje Bunge." (Msisitizo ni wa kwangu).
Katika Kanuni ya 90 ya Kanuzi za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007, tunasoma kwamba "Mtoa hoja anayewasilisha Muswada wa Sheria anaweza kuuondoa Muswada wakati wowote kabla ya Bunge kuhojiwa kutoa uamuzi wake, baada ya kutoa taarifa kwa Spika." Muswada huo utaondolewa baada ya hoja kufunga mjadala kutolewa chini ya Kanuni ya 69 ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007. (Msisitizo ni wa kwangu).
Kwa hiyo, kwa upande wa Sophia Simba kutoa Muswada Bungeni hakuna constitutional implication yoyote kama nilivyosema tangu mwanzo. Naomba kuwasilisha!
 
Ila kuna jambo moja zuri linakuja ngoja serikali iiendelee kukosea, wabunge watakuwa hawaiamini hii itafanya wasome miswaada vizuri huko mbeleni... it is those bad things but important to happen for the change.
 
Muswada kutokupita Bungeni sio tatizo ambalo linaweza kuleta Constitutional implication yoyote na wala si kukosa imani na Rais! Hali inayoleta kukosa imani na Rais ambaye anaweza hata kulivunja Bunge ni pale ambapo Muswada uliofikishwa kwake amekataa kuusaini ili uwe Sheria na kuurudisha tena Bungeni! Katika Ibara ya 97 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 15 ya mwaka 1984 tunasoma kwamba "Iwapo Muswada umerudishwa kwa Bunge na Rais, halafu ukaungwa mkono kwenye Bunge na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote kama ilivyoelezwa katika ibara ndogo ya (3) na kupelekwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kwa mara ya pili kabla haujamalizika muda wa miezi sita tangu uliporudishwa, basi Rais atatakiwa kuukubali Muswada huo kabla ya kumalizika muda wa siku ishirini na moja tangu Muswada huo ulipowasilishwa kwake la sivyo basi itabidi alivunje Bunge." (Msisitizo ni wa kwangu).
Katika Kanuni ya 90 ya Kanuzi za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007, tunasoma kwamba "Mtoa hoja anayewasilisha Muswada wa Sheria anaweza kuuondoa Muswada wakati wowote kabla ya Bunge kuhojiwa kutoa uamuzi wake, baada ya kutoa taarifa kwa Spika." (Msisitizo ni wa kwangu).
Kwa hiyo, kwa upande wa Sophia Simba kutoa Muswada Bungeni hakuna constitutional implication yoyote kama nilivyosema tangu mwanzo. Naomba kuwasilisha!
=======

Mh Buchanan (una uhusiano na Pat Buchanan?)
Ahsante kwa darasa, lakini bado nina shida kidogo. Kweli hakuna constitutional implications, lakini kuna public implications. Muswada hauendi bungeni bila kupita kwenye cabinet ambako muungwana na M/kiti. Kilichotokea ni slap on the face of the cabinet. Mbaya zaidi naibu Spika ameliuliza bunge ikiwa linaridhia ombi la kuuondoa na kuurudisha kwenye kamati na bunge likaridhia kwa kauli moja. Kuna tetesi kuwa umerudishwa kwenye kamati ya usalama na mambo ya nje badala ya ile iliyoupitia awali na Sophia amekalishwa chini na kupewa tuition ya nguvu. Narudia tena, kuna mgogoro mkubwa wa kiimani kati ya bunge na serikali.
 
Parliament rejects National Security Council Bill 2009

After postponement of the session, other cabinet members gathered around consoling Ms Simba, while some hugged her. It is rare for a bill to be rejected in the Tanzanian parliament.

Kaaazi kweli kweli!
 
Je inawezekana kumpunguzia madaraka rais ni vizuri na bunge letu halijaelewa umuhimu wa mswada huu?

Kila siku si tunalalamika hapa kwamba rais wetu ana nguvu sana?

What are the finer details?
 
=======

Mh Buchanan (una uhusiano na Pat Buchanan?)
Ahsante kwa darasa, lakini bado nina shida kidogo. Kweli hakuna constitutional implications, lakini kuna public implications.

Sina uhusiano na Pat. Ni kweli kuna public implication lakini mimi nilikuwa nazungumzia Legal Implication or more specifically, a constitutional one! Kama Bunge limeukataa Muswada ni jambo la kawaida na ndio maana kuna Kanuni zinazozungumzia "kuondoa Muswada!" Sasa u-ajabu uko wapi hapa? Zamani "enzi za Mwalimu" Bunge lilitumika kama "Rubber Stamp" ili kupitisha hoja mbalimbali za Serikali, ikiwemo Miswada, but not anymore! "Magego" ya Bunge yanazidi kuongezeka siku hadi siku na ndio maana, labda kwa mara ya kwanza (sina uhakika na hili anyway) Muswada unaondolewa Bungeni. Labda huko mbeleni , kama "magego" hayatang'olewa na Serikali, tutaona Kanuni za Bunge ambazo zilikuwa "zimedumaa" kwa kutokufanyiwa kazi, "zinafufuliwa!"
 
Je inawezekana kumpunguzia madaraka rais ni vizuri na bunge letu halijaelewa umuhimu wa mswada huu?

Kila siku si tunalalamika hapa kwamba rais wetu ana nguvu sana?

What are the finer details?

Rais apunguziwe madaraka lakini sio kwenye mambo ya usalama! Pia kama tuna Usalama wa Taifa na sasa hivi kuwe na Baraza la Usalama wa Taifa, labda kesho tutakuwa na Tume ya Usalama wa Taifa na labda keshokutwa tutakuwa na Kamati ya Usalama wa Taifa, etc, etc, what are we trying to achieve?
 
Rais apunguziwe madaraka lakini sio kwenye mambo ya usalama! Pia kama tuna Usalama wa Taifa na sasa hivi kuwe na Baraza la Usalama wa Taifa, labda kesho tutakuwa na Tume ya Usalama wa Taifa na labda keshokutwa tutakuwa na Kamati ya Usalama wa Taifa, etc, etc, what are we trying to achieve?

Ustaadh said:
Member of the parliament said that the bill is flawed and it may dilute powers of the president as the Commander-In-Chief.
Tungepata nakala ya muswada huo ingekuwa vyema zaidi,tungepima ni kwa kivipi hiyo power dilution ita compromise National Security....Ni maamuzi gani haswa yanayomuhusu Mh Rais ambayo yanadaiwa kuwa mswada huo unataka yawe "Delegeted"?Tukiyafahamu tutaweza kujadili kiundani zaidi kuhusiana na faida na hasara zake.
 
unajua tusije kuchanganya; Idara ya Usalama wa Taifa na Baraza la Usalama laTaifa. Hawako tayari kufanya mabadiliko ya muundo na mfumo wa Usalama wa Taifa na badala yake wanataka kuongeza entity nyingine ambayo itakuwa ni kama ile ya Kimarekani ya National Security Council.

Waliokataa mswada bila ya shaka wanaweza wakawa na uelewa tofauti wa hoja yenyewe ilivyo. Rais kupunguziwa madaraka katika mambo ya usalama wa taifa inawezekana imeandikwa vibaya.

Lakini hapa inabidi waulizwe kina Slaa na kina Ngwilizi kama Baraza la Usalama la Taifa linalopendekezwa litakuwa ni chombo cha kijeshi au cha kiraia?
 
Tungepata nakala ya muswada huo ingekuwa vyema zaidi,tungepima ni kwa kivipi hiyo power dilution ita compromise National Security....Ni maamuzi gani haswa yanayomuhusu Mh Rais ambayo yanadaiwa kuwa mswada huo unataka yawe "Delegeted"?Tukiyafahamu tutaweza kujadili kiundani zaidi kuhusiana na faida na hasara zake.

Kweli kabisa jmushi1! Inawezekana tukiupata huo Muswada mawazo yetu wote yatabadilika na kuanza kuupigia debe! Kwenye tovuti ya Bunge siku hizi wanaweka Hansards na Order Papers na pia vikolombwezo vingine ambavyo mimi naona si muhimu, lakini Bills na Acts hawaweki! Inatuwia vigumu sana kupata Muswada husika. Inaonekana hatuna Wabunge humu JF au kama wapo hawapendi kubandika Muswada huo ili tuujadili. Anyway, kwa sasa tuendelee kukusanya vipande tu vya Muswada (ambavyo hata hivyo vinaweza kuwa misquoted) kupitia kwenye magazeti na kujadili!
 
Jamani fanyeni juu chini mpate huo Muswada pamoja na ule wa fedha za uchaguzi ili tuijadili humu! Wanajifanya hawaitambui JF lakini mambo mengi wanachukuliaga humu! Hapa JF huwa hakiharibiki kitu!

Mkuu Buchanan,

Attached.
 

Attachments

  • electionexpensesbill.pdf
    11.4 MB · Views: 62
Sikwamba hawajui nini wanafanya, ila yapo maslahi ya kikundi kidogo cha watu ndani ya nnchi hii ndio kinaangaliwa ....wanasiasa hawajali maslahi ya kundi kubwa...wanasahau kama ipo siku nao watakuja kuwa raia wakawaida wataostahili kulindwa nasheia wanazozitunga leo.

Mkuu kwa maneno mengine huu muswada si wa usalama wa Taifa bali usalama wa mafisadi. Walisubiri hadi kikao hiki cha Bunge ili kuupitisha haraka haraka wakijua kwamba Wabunge wengi watakuwa busy kuanza kujiweka sawa na maandalizi ya kampeni za uchaguzi.
 
Uanasheria wa simba siukubali hata,huo muswada itakuwa waliulamisha ili watu wachache waingie balaza wajione wao wana nguvu sana kutishia wengine!!simba akiwemo!!werema atakuwa ameukuta umeshaandaliwa kabla hana jinsi kukataa....au kupinga
 
Back
Top Bottom